busara ya mzee
Member
- Apr 25, 2012
- 71
- 5
Basi mkuu umenibania niliyotaka kuhabarisha kuhusu mh mahanga,:tape:
jike la mbegu hilo...linasubiri kuzalishwa tu...!Dume la mbegu gani ana hoja za kike hasumbui kichwa chake.
This is Tz, you never trust anyone. Nchi ya ushikaji shikaji tu kila kitu. MUNGU isaidie nchi hii maana hata viongozi wa dini tunasikia wanahongwa siku hizi sijui tukimbilie wapi??? Umasikini huu mweee!!
Tunahamia ubungo sasa!
Hata wafanye nini, ccm itakufa tu!!
nimeikuta hii kwa wachangiaji ktk facebook wall ya heche.
Nanukuu
" mimi binafsi nilijua wazi juu ya hilo,kwani hata alipokamatwa na kura na kupelekwa polisi buguruni.rais kikwete ndio aliyempigia simu mkuu wa polisi kwamba amwachie mara moja.kama ilishakuwa hivyo nani anaweza kuwa juu ya rais,hata mahakama zinamuangalia rais kabla ya kutoa maamuzi yake.pia niwape taarifa za ndani,imetolewa amri kutoka kwa mweshiwa kwenda kwa mahakimu wote wanaosimamia kesi zote zinazopiga matokeo ya ccm nchini kote kuhakikisha ccm inashinda kesi hizo.yule hakimu aliyeipa ushindi chadema kwenye ile kesi sumbawanga,amerudishwa makao makuu na atapangiwa kazi nyingine kwa kukaidi agizo hilo.hii ni safari,huwezi kuzuia watu wasisafiri kwa kuwa ni lazima watu watasafiri.tusonge mbele.peoples,power."
mwisho wa kunukuu
CDM kwenye hili msimlaumu mtu hoja za mpendazoe zilikuwa dhaifu sana na hazina mashiko kama chama chenyewe kilivyo kibabaishaji na hoja za uzandiki
pia ni muislam kama ilivyo ccm
Makongoro si Mkuria. Makongoro ni Mjaluo aliyetokea Kisumu wakahamia Bunda miaka hiyo ya zamani. Jina lake alijaribu kuilatinize ili asijulikane kuwa ni mjaluo. Jina lake la Kijaluo ni Mahanga Ongoro. Kuhusu hukumu nafikiri haki imetendeka na watu humu JF walishaanza kubashiri kuwa atashinda tu.