Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

Ni nani ungependa agombee urais mwaka 2015 kwa tiketi ya CHADEMA?

  • Zitto Z. Kabwe

    Votes: 180 15.3%
  • Wilbrod P. Slaa

    Votes: 996 84.7%

  • Total voters
    1,176
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
ingawa ntakuwa nimechelewa kutoa mchango wangu ila naomba niutoe tu jamani!! kwanza kabisa mh, Zitto kiumri hatakuwa amefikisha umri wakumruhusu kugombea urais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania kwa mujibu wa katiba ya nchi. na sidhani kama kuna haja ya kufikiria kusimamishwa yeye kupeperusha bendera ya chama ilihali katiba ya nchi haimruhusu!!! naomba nisiende mbali zaidi mpaka hapo umri wake utakapofikia kugombea urais nitatoa sababu kama anastahili kupeperusha bendera ya chama au la!!! unayesema chadema kuna udini kwenye mtandao kama huu kama siyo mchawi basi una mawazo mgando!!!!
 
Dr.slaa anafaa kuwa raisi zitto ametumwa na ccm kuivuruga cdm
 
dr slaa ana upeo mkubwa sana wa kuondoa umaskini nchini. aligombea 2010 akapata kura za kuridhisha. ana uwezo wa kuongoza chama. anapenda watanzania na watu wanampenda
 
Tuache kelele nyingi, kama ungepewa mamlaka ya kumteua kati ya Zitto Zuberi Kabwe ama Wilbroad Peter Slaa kugombea nafasi ya urais mwaka 2015. Ni nani ungemteua? Na Kwa Nini? Toa sababu kuu nne TU.

Mimi Nadhani ingekuwa ni busara kuwalinganisha watu hao wawili kwa kulinganisha sifa zao kwa kutumia vigezo mbalimbali kama vile:
1. Uwezo wa kuchanganua mambo ya kiuchumi na kuwa na mtizamo wa uchumi wa kisasa unaoweza kukabiliana na changamoto mbalimbali kama vile mdororo wa uchumi wa dunia n.k.
2. Msimamo wa siasa za ndani ya nchi (sera ya siasa ya ndani ya nchi)
3. Sera za siasa za nje
4. Uwezo binafsi wa mtu kitaaluma
5. Uzoefu wa uongozi katika nyadhifa mbalimbali na mafanikio yao katika nyadhifa hizo.

Sio vibaya pia kama chama chao kitaamua kutumia njia ya midahalo ya kama namna mojawapo ya kuchagua mgombea mwenye sifa anazoweza kuzitetea.
 
Tuache kelele nyingi, kama ungepewa mamlaka ya kumteua kati ya Zitto Zuberi Kabwe ama Wilbroad Peter Slaa kugombea nafasi ya urais mwaka 2015. Ni nani ungemteua? Na Kwa Nini? Toa sababu kuu nne TU.

Ebwanae mzitto kabwela arudi tu kwenye ubunge but for presidency LET'S VOTE FOR DOCTA WILBROAD PETER SLAA .
 
Sikutaka kuchangia huu uzi mapema kwa sababu nilikua nasubiri watu wazidi kuwaona na kuwafahamu vizuri hawa waheshimiwa tunaowajadili. Na muda unavyozidi kwenda nadhani watu wanazidi kuona strength na weakness za argument zao.
Zitto na Slaa bado mna nafasi ya kutuonesha ninyi hasa ni kina nani. Karibuni wakuu!
By the way, kwangu bado naamini ZZK ni bora zaidi ya Dr. Slaa, sio kwa mahaba niliyonayo juu ya ZZK bali ni kwa sababu ya uwezo na kipawa kikubwa alicho nacho ZZK. Busara na hekima ya ZZK bado hazilingani na za Dr. ZZK is the best to me!!
 
kuropoka na kusema san a sidhani ndiyo kuonekana una kipawa,kipawa huwa hakijifichi kwa hiyo inawezekana vijana wa siku hizi mnadhani kipawa ni kuongea sana na kujinasibu sana tufike mahali watu watupe sifa si kujisifu
 
Dokta aliitetea nchi akiwa bungeni na kama katibu mkuu wa CDM, hakuwa kanisani, sasa udini wa nini?? kwani aliyotetea ni ya wakristu tu?? mbona tunafaidika na utetezi wake bila kujali dini???

Dr. Slaa angefaa sana aendeshe nchi hata kwa awamu moja, ili kuleta heshima ya serikali na uwajibikaji kwa manufaa ya watu wote.
 
on ma side I tink zitto is da best fast his young and he has energy bt dr slaa nadhan yeye aendelee na shughuli za kujenga chama coz umri umeenda xana
 
Dr Slaa ni Jembe,na hatuhitaji tena kuhangaika kutafuta mgaombea urais ndani ya CHADEMA 2015 huyo ni 100% bila kusubiri, Zito aka mtoto wa mafisadi mwepesi kudanganywa anafanana na yale mademu ya usiku ya pale Buguruni yanayonunuliwa kwa sh 2500 lina pigwa hadi nyuma hatufai kabiisa ni wakuogopwa kama babuyake EL aka ATM ya Makanisa,misikiti,na makongamano.
 
ZZK is not capable to be a president of this country. He is very selfish and thinks that he is among the great thinkers. ZZK is being used by the ruling party,government, TISS and whatsoever either knowingly or unkowingly. But to me I conclude that ZZK knows he is being used and has accepted that. His actions show.

Perhaps ZZK or someone may think that he has been passing his bills in the parliament using his own tricky ways and intelligence....Ooh the hell NO.. All these are just tricks of the ruling party to make him alive. Make him move so that they can keep using him. Its like recharging the battery.

If you look carefully, ZZK is playing what we call SAFE POLITICS. Look at his involvements in party activities...ALWAYS PLAYING SAFE..He is not giving ALL to his party..

His recent statement that CDM wont b safe if he is destructed proves my long time suspiscions of him being used and selfshness..
 
ZZK is not capable to be a president of this country. He is very selfish and thinks that he is among the great thinkers. ZZK is being used by the ruling party,government, TISS and whatsoever either knowingly or unkowingly. But to me I conclude that ZZK knows he is being used and has accepted that. His actions show.

Perhaps ZZK or someone may think that he has been passing his bills in the parliament using his own tricky ways and intelligence....Ooh the hell NO.. All these are just tricks of the ruling party to make him alive. Make him move so that they can keep using him. Its like recharging the battery.

If you look carefully, ZZK is playing what we call SAFE POLITICS. Look at his involvements in party activities...ALWAYS PLAYING SAFE..He is not giving ALL to his party..

His recent statement that CDM wont b safe if he is destructed proves my long time suspiscions of him being used and selfshness..
sitapiga kura yangu kwa kibaraka wa mafisadi ZZK. Ni mtu hatari kuliko CCM yenyewe!! DR slaa unamlinganisha na kichuguu ZZK
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom