Recent content by Mwombeki Hamrungi

  1. M

    Kwanini Chato International Airport na si Omukajunguti international Airport? Kagera inaonewa sana

    Tatizo la kubwa la bukoba ni unafiki uliokithiri ndo chanzo cha kubak nyuma, pili muingiliano wawatu tofaut tofaut hakuna wamebaki kuwa na kabila moja2 vitega uchumi hakuna
  2. M

    Nchini Uganda kuna kundi la watu wanaouza viungo vya binadamu

    Kwa Uganda sio ajabu watu wanakamatwa na kuchuna ngoz za binadam hakika tunaelekea pabaya
  3. M

    Azam tv yashinda tena tenda ya kuonyesha VPL

    Watu tuache unafiki tofaut na Dstv supersport hakuna media kama Azam Hd yakuonesha mpira live Watu elewen hilo Azam yuko vizuri sana. Afu tuwe na tabia ya kupenda wawekezaji wa ndani kuliko ao startimes.
  4. M

    Ni hesabu tu.. Kuliko kutuma laki mbili kwa simu ndani ya Dar, mtume mwanao apeleke

    Achen kupotosha watu gharama ya kutuma pesa imebadilika kidgo2
  5. M

    M Pesa nirudishieni basi pesa zangu

    M tangu tarehe 1 mpaka leo hii bado sijarudishiwa pesa yangu
  6. M

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    Mkuuu nisidie karbia wananimalizia mtaj wangu nipe mwanga nifanyeje jamani???
  7. M

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    Dawa ya kuzuia chuma ulete mkuu
  8. M

    Waziri asema atahakikisha ongezeko la tozo kwenye miamala haliathiri mteja

    Vodacom na Tigo tayari washaongeza gharama kinyemela kabla ya july
Back
Top Bottom