Hicho ulichoeleza una uhakika nacho? Jana nimetuma 260,000 sijaona hiki ulichoeleza
Ulitumwa na Kinana au Nape ukaitume
Hicho ulichoeleza una uhakika nacho? Jana nimetuma 260,000 sijaona hiki ulichoeleza
Mna maoni gani masikini na wanyonge wenzangu?
Mkuu kutuma Tsh.260000/=ada yake ni Tsh.850/= hiyo ni ada utakayokatwa wewe. Unayemtumia nae akitaka ku-withdraw(kutoa) atakatwa Tsh.42000/= hiyo ni tigo. Jumla itakuwa Tsh.5050/=.Hicho ulichoeleza una uhakika nacho? Jana nimetuma 260,000 sijaona hiki ulichoeleza
Hujamuelewa mtoa mada..Labda ufanye utafiti kwanza kabla ya kupost. Juzi nimetuma 505,000/- tigo-tigo ada 1,850. Leo nimetuma 850,000 tigo-voda ada 2,250. Kutuma gharama zake ni hizo sasa sijui hio 5000/- kutuma 200,000/- umeitoa wapi. Ninachoweza kukueleza kingine, kutoa pesa cash kwa wakala ziko juu kulikom kutuma.
Sasa kwa 1,850 ni afadhali nitume kwa njia hii kuliko kumpa mtu apande nayo daladala, labda hukuangalia risk ya kupanda daladala na kiasi kikubwa cha fedha.
Sawa. Ila siwezi ku risk 500,000 kuokoa 3000/-. Na kama alivyosema hapa ni hesabu tu, nasikitika hesabu hio haileti maana. Huwezi kuhangaika na hela nyingi kwenye daladala kisa unaokoa 3000/-.Hujamuelewa mtoa mada..
Hiyo elfu 5 aliyoisema inajumlisha gharama za kutuma pamoja na kutoa yule ambaye unataka hela imfikie.
Nenda katume 505,000 tigo-tigo uje utuambie gharama za kutuma ni kiasi gani.
Cash kama kodi ya mwaka nitaipeleka kwasababu makato yanalingana na bei ya mafuta! Ila siwezi kumtuma mtu apande nayo daladala ili nikokoe 5000/-.Anaweza akawa anamaanisha ile situation ambayo unatakiwa kumtumia mtu hela na makato yasimhusu
Mimi nimefanya hivyo 2 days ago, nimepeleka kodi ya mwaka kwa land lord wangu in cash badala ya kutuma kama ilivyozoeleka, baada ya kuona makato yatakuwa makubwa na nilikuwa na ishu zingine huko huko anakoishi.
Na faida nyingine nimepata namba ya binti yake mzuri balaa
Cash kama kodi ya mwaka nitaipeleka kwasababu makato yanalingana na bei ya mafuta! Ila siwezi kumtuma mtu apande nayo daladala ili nikokoe 5000/-.
HIVI KWANI HIYO MITANDAO MMEFUNGA NAYO NDOA? SI MHAMIE HATA TTCL JAMAN ALLAH!! TCRA WAPO KWA AJILI YA KUSIMAMIA WIZI LAKINI HAWAINGILI HUDUMA ZA KAMPUNI BINAFSI EBBOH, NYIE VIP! ANAEUMIA NA MAKATO AHAME TU! SOKO LIPO KIUSHINDANI ZAIDINi kweli gharama za kutuma fedha kwa njia ya simu zimekuwa ghali mno mnoo, na gharama zinapanda hovyo hovyo..!! TCRA wako wako tu..!!
Wizi wa wazi ni pale UNAPOULIZA SALIO, eti wanakata hela, hv mtu una hela yako tigopesa, mpesa, unaangalia salio, hela yako, wanakukata hela, HUU NI WIZI MKUBWA NA WAWAZI...!!
Huwa TCRA mm sijui kabisa kazi yao hapa nchini... wanalala sana.. haiwezekani mtu una kifedha chako ktk tigopesa, mpesa, kila ukicheki salio, wanakukata hela, HUU NI WIZI NA TCRA is part of it.. nailaumu sana sana TCRA, na kuwalaani kabisa..!!
Pili mfano TIGO, wahuni sana sana, wanakuunganisha na huduma wao, hata hujajiunga, ukiweka vocha wanakukata eti unatumia huduma fulani... Tigo ni wezi sana, wanakuunganisha na huduma hata hujui, kisha ukiweka vocha wana deduct daily, sometimes wanakuunganisha huduma hadi 2 na wakata hela ki wizi wizi tu.. TCRA wanajua na wako wako tu... Mm nawalaani sana TCRA..!! Tigo ndio wezi kabisa..!! utajitoa ktk huduma zao zote, weka vocha watakukata, watakwambia unatumia huduma fulani, na wanakuunganisha wao makusudi kabisa... TCRA nawapa laana kabisa..!!
Hahaha akawadanganye buku 7 wenzakeLumumba buku 7 umezichanga lini mpaka ikafika 260000?