Bi nyakomba
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 385
- 104
- Thread starter
- #21
Daaah
MI bado Nina jazba sanAMi toka tar 29 ndo nimerejrshewa Leo hp napooza koo kwa moja Moto moja baridi crudii tena
Yangu Haihusiani na bank aghrrfPoleni tatizo sio wanaopokea simu tatizo wanaoshughulikia yaani wanao wasiliana na bank ndio wanaovuta mda sana kwahiyo hao Customercare mnawaonea
Pole piaYangu Haihusiani na bank aghrrf
Si afadhali yako ni juzi tu,mimi toka tar20 June sh laki mbili na thelasini mpaka leo napewa majibu yasiyoleta la maana na hela haijarudinimetuma muamala toka tarehe 2 mwezi huu, mpk Leo pesa haijaingia kwenye akaunti. mmefanya sikukuu kwangu umekuwa chungu. Halotel hivi MNA halopesa?
Pole sana,but jina lako la bi nyakomba linanikumbusha kitambo sana wakati nikiwa standard four.Katika mtihani wetu wa kiingereza wa kupandia standard five tulikumbana na dictation which was about the story of nyakomba,actually i remember that day kijasho kilinitoka sananimetuma muamala toka tarehe 2 mwezi huu, mpk Leo pesa haijaingia kwenye akaunti. mmefanya sikukuu kwangu umekuwa chungu. Halotel hivi MNA halopesa?
Mwezi ujaooo... Wakati Tigo maranyingi hapo kwa hapo.. Na Sema MPEsa kutumia mwisho watakaporudisha muamala wangu sitawahi kutumia hzo huduma na nitafanya kaMpeni Familia yangu kwenye isitumie JUST SAY NO TO VODACOM M-PESAMie imenitokea leo nafanya muhamala ukaenda sehemu nyingine nimewapigia wameniambia masaa 72,nimemahindi vipi sijaeleweka