Kwa matukio haya ya utekaji mfano Roma Mkatoliki, kupotea kwa watu mfano Ben Saanane, vitisho ikiwemo kitendo cha kuoneshwa silaha (bunduki) kama kitisho kwa Nape na hadi sasa hakuna aliyefikishwa kwenye vyombo vya sheria kwa matukio la Roma na Nape na sasa tumeshuhudia jaribio la mauaji la...
PRESS CONFERENCE:
Kesho Tarehe 6/9/2017 saa 5 Asubuhi katika Ofisi ya Wabunge wa CUF, Magomeni -Dar es Salaam. THE CIVIC UNITED FRONT (CUF-Chama Cha Wananchi) Kitazungumza na waandishi wa Habari kuelezea masuala mbalimbali yanayoendelea nchini. Pia Wabunge 8 wa Viti Maalumu walioondolewa...
Wabunge wa Lipumba wameakula kiapo Leo bungeni na sasa ni wabunge kamili.
Wabunge waliofukuzwa wamefungua kesi mahakamani kupinga kuvuliwa uanachama kwa madai kuwa matakwa ya kikatiba ya CUF hayakufuatwa kufikia maamuzi hayo na pia kikao cha baraza kuu lililofanya maamuzi hayo kiliuzuliwa na...
Written by Mwl Razaq Mtele Malilo
The supreme court's verdict on annulling Kenyatta's winning was dextral in accordance of peeps' constitution and provided for the sake of shunning Kenya not to skydive into another melee.
We certify Kenya propels into prodigious political change not for the...
Written by Mwl Razaq Mtele Malilo
The supreme court's verdict on annulling Kenyatta's winning was dextral in accordance of peeps' constitution and provided for the sake of shunning Kenya not to skydive into another melee.
We certify Kenya propels into prodigious political change not for the...
Written by Mwl Razaq Mtele Malilo.
I termed Kenyatta as the father of democracy in East and Centra Africa, but now he starts to speak hocus pocus.
Kenyatta must acquiesce the supreme court's decision though it is sturdiest judgement and cataclysmic event come to pass for him but the supreme...
Updates From High Court:
Jaji Wilfred Dyansobera ameliondoa (Struck out) shauri la madai namba 21/2017 bila gharama. Shauri hilo linahusu Wizi wa fedha za ruzuku ya CUF milioni 369 kutokana na kifungu kilichotumika kufungulia shauri hilo haikipi Mahakama mamlaka ya kulisikiliza shauri hilo...
Kuna watu wananipigia simu kuniuliza kuhusu Tamko la Lipumba leo la kusajiriwa bodi yao ya Wadhamini.
Kwanza nimekuwa bize na mitihani hapa chuoni sijapata muda wa kufuatilia kwa kina nini kinaendelea ila mimi msimamo wangu upo wazi kabisa.
1. Sijafikiria kukihama chama changu cha CUF
2...
KIJANA WA CHADEMA (CHASO UDSM-DUCE) AKAMATWA NA POLISI.
Nimefika Chuo Kishiriki cha DUCE nimekuta rafiki yangu wa CHASO Joshua Mgallah amekamatwa na Polisi hapa DUCE ambapo CCM wanasherehe yao ya kumpongeza Magufuli ndani ya Kumbi za mihadhara ya chuo hiki cha DUCE.
Joshua Mgallah kwa...
KILICHOTOKEA UCHAGUZI WA DARUSO-MLIMANI (UDSM) NI ISHARA KUWA CCM IMECHAKAA
Na Mwl Razaq Mtele Malilo
Tarehe 20/4/2017 kulikuwa na uzinduzi wa kampeni za uchaguzi wa Rais wa serikali ya wanafunzi CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM (CKD) maarufu kama UDSM, uzinduzi uliofanyika katika viunga vya...
KATIBU MKUU, MAALIM SEIF SHARIF HAMAD AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI KATIKA HOTELI YA RAMADA:
=========
11:30: Maalim anaanza kuzungumza
Nimekuja kufichua mbinu chafu za Lipumba"
Takriban wiki sasa nimekuwa na ziara ya kuimarisha chama Unguja na Pemba. Nimekatisha ziara ili kuja...
THE CIVIC UNITED FRONT
(CUF–Chama Cha Wananchi)
THE DIRECTORATE OF INFORMATION, PUBLICITY AND PUBLIC RELATION
P.O.BOX 10979 DAR ES SALAAM
TAARIFA KWA UMMA NA VYOMBO VYA HABARI
Imetolewa leo Tarehe 13/3/2017
Na. Kurugenzi ya Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma-CUF Taifa
MAPITIO YA...
THE CIVIC UNITED FRONT
(CUF - Chama Cha Wananchi)
Imeandaliwa na Mratibu wa Uchaguzi Manispaa ya Lindi ndugu Khasim Hassan Fundi
MATOKEO KWA MITAA YOTE NI KAMA IFUATAVYO:-
1. Kata Mwenge
waliojiandikisha ni 294
waliopiga kura 273 CUF KURA 136 CCM KURA 133 Tofauti kura 3 mtaa huu ulikuwa wa...
THE CIVIC UNITED FRONT
(CUF-CHAMA CHA WANANCHI)
JUMUIYA YA VIJANA (JUVICUF)
CUF VYUO VIKUU TAWI LA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM (MLIMANI-UDSM)
PONGEZI NYINGI KWA WANALINDI, CUF NA UKAWA KWA UJUMLA
CUF Chama Cha Wananchi tawi la Mlimani Chuo Kikuu Cha Dar Es Salaam tunayofuraha kubwa juu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.