stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 2,194
- 2,512
Wanajamvi ningependa kufahamu kati ya katiba hizi 3 ipi inasimamia misingi ya kidemokrasia na inaheshimiwa na wafuasi wake
1. Katiba ya CCM
2. Katiba ya CHADEMA, na
3. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
1. Katiba ya CCM
2. Katiba ya CHADEMA, na
3. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania