Mwanafunzi wa DUCE mwanaCHADEMA atiwa mbaroni

Sep 29, 2016
34
83
KIJANA WA CHADEMA (CHASO UDSM-DUCE) AKAMATWA NA POLISI.

Nimefika Chuo Kishiriki cha DUCE nimekuta rafiki yangu wa CHASO Joshua Mgallah amekamatwa na Polisi hapa DUCE ambapo CCM wanasherehe yao ya kumpongeza Magufuli ndani ya Kumbi za mihadhara ya chuo hiki cha DUCE.
Joshua Mgallah kwa taarifa za awali ametiwa nguvuni kwa kutuhumiwa kupanga njama ya kuvuruga mkutano huo wa CCM wa kumpongeza Magufuli.

Shughuli za kichama zinafanyika ndani ya chuo.... na watu wakiwemo wanafunzi wamevaa nguo za chama.
Kwa by - laws za UDSM (MAIN CAMPUS) haitakiwi hii sijui hapa DUCE.

Mwl RM. Malilo.
UDSM - DUCE
 
Kama tuhuma ni za kweli ni sawa ila kama ni sababu za kisiasa,TUNALAANI VITENDO HIVI
 
kwahiyo unataka tukusaidie nini ndugu yangu? maana siye wengine si chadema wala ccm,na sikuzote tumekuwa tukiwaombea mabaya. sasa sijui tufanyeje!!!!!!
 
KIJANA WA CHADEMA (CHASO UDSM-DUCE) AKAMATWA NA POLISI.

Nimefika Chuo Kishiriki cha DUCE nimekuta rafiki yangu wa CHASO Joshua Mgallah amekamatwa na Polisi hapa DUCE ambapo CCM wanasherehe yao ya kumpongeza Magufuli ndani ya Kumbi za mihadhara ya chuo hiki cha DUCE.
Joshua Mgallah kwa taarifa za awali ametiwa nguvuni kwa kutuhumiwa kupanga njama ya kuvuruga mkutano huo wa CCM wa kumpongeza Magufuli.

Shughuli za kichama zinafanyika ndani ya chuo.... na watu wakiwemo wanafunzi wamevaa nguo za chama.
Kwa by - laws za UDSM (MAIN CAMPUS) haitakiwi hii sijui hapa DUCE.

Mwl RM. Malilo.
UDSM - DUCE
Unalia lia nini wewe. Ulitaka polisi wamwache huyo Mgallah afanye atakavyo?
 
We dogo Razack unaandika haya upo hapa Buguruni tena tupo wote hizo za DUCE umepigiwa simu unadai upo DUCE.
Mfuate Bobali akufundishe siasa ukishindwa kabisa rudi tu shule ukafundishe lakin usiende kilwa maana watoto wetu utawajaza uongo uongo na unafiki.
Ramadhan Kareem Mwl Razaq Mtele Malilo
 
KIJANA WA CHADEMA (CHASO UDSM-DUCE) AKAMATWA NA POLISI.

Nimefika Chuo Kishiriki cha DUCE nimekuta rafiki yangu wa CHASO Joshua Mgallah amekamatwa na Polisi hapa DUCE ambapo CCM wanasherehe yao ya kumpongeza Magufuli ndani ya Kumbi za mihadhara ya chuo hiki cha DUCE.
Joshua Mgallah kwa taarifa za awali ametiwa nguvuni kwa kutuhumiwa kupanga njama ya kuvuruga mkutano huo wa CCM wa kumpongeza Magufuli.

Shughuli za kichama zinafanyika ndani ya chuo.... na watu wakiwemo wanafunzi wamevaa nguo za chama.
Kwa by - laws za UDSM (MAIN CAMPUS) haitakiwi hii sijui hapa DUCE.

Mwl RM. Malilo.
UDSM - DUCE
Walijuaje alitaka kufanya fujo? Si wangemwacha kwanza afanye fujo zake ndo wamkamate?
 
Auawe kabisa.. Wanafunzi wajinga wanasiasa ni janga kwa taifa
Vipi hao wa CCM waliokuwa wakifanya huo mkutano huku wamevalia nguo za CCM sio wanasiasa? au wewe unachojua wanasiasa ni wale wa vyama vya upinzani tu? nafikiri akili zako hazipo sawa ndugu kwa ulichokiandika.
 
Hatunaga akili kwa kujenga hoja hatuwezi mwisho wa uwezo wetu ni kukamata kwani huo ndo mwisho wetu wa kufikiri
 
DUCE ni sawa na mlimani tu, ni marufuku mwanafunz kujihusisha na shughuli za chama chochote
hii inaambatana na marufuku ya mwanafunz kuvaa sare za chama na kuingia chuo, hairuhusiwi
 
KIJANA WA CHADEMA (CHASO UDSM-DUCE) AKAMATWA NA POLISI.

Nimefika Chuo Kishiriki cha DUCE nimekuta rafiki yangu wa CHASO Joshua Mgallah amekamatwa na Polisi hapa DUCE ambapo CCM wanasherehe yao ya kumpongeza Magufuli ndani ya Kumbi za mihadhara ya chuo hiki cha DUCE.
Joshua Mgallah kwa taarifa za awali ametiwa nguvuni kwa kutuhumiwa kupanga njama ya kuvuruga mkutano huo wa CCM wa kumpongeza Magufuli.

Shughuli za kichama zinafanyika ndani ya chuo.... na watu wakiwemo wanafunzi wamevaa nguo za chama.
Kwa by - laws za UDSM (MAIN CAMPUS) haitakiwi hii sijui hapa DUCE.

Mwl RM. Malilo.
UDSM - DUCE

Ninavyojua hakuna tatizo kwa Wanachama wa Chama fulani kukutana Chuoni na kujadili au kupongezena wao kwa wao na bahati nzuri hii ipo katika Taasisi nyingi tu za Elimu ya juu na ni jambo linalojulikana na kuruhusiwa pia. Kama leo utashangaa kuwepo kwa Shughuli za Kisiasa ndani ya Vyuo mbona hujiulizi au hushangai humo humo Vyuoni kuna Makundi mbalimbali ya Kidini yanaendesha shughuli zao hata kama unaweza kukuta hiko Chuo ni cha Kikristo au Kiislamu?

Bandiko lako umelileta Kiharakati zaidi na si kwa Kujenga hoja kitu ambacho ni hatari sana katika afya nzima ya Ustawi wa Demokrasia na Uhuru wa Mtu au Makundi fulani nchini. Na Police siyo Wapumbavu hadi wakamkamata huyo Kijana kwani huenda hiyo nia yake ovu ilishaonekana mapema tu na Wazee wa Kazi ambao hata humo humo Vyuoni mnao wengi tu.

Wewe Wanafunzi wa CCM wanasheherekea mambo yao sasa Wewe mwana CHADEMA unawashwawashwa na nini? Kila siku huwa nawaambieni humu kuwa CHADEMA ni chama ambacho mpaka sasa nakiheshimu mno na nikiri tu kwa kusema kuwa uimara wa CCM wa sasa unatokana na umahiri wa wana CHADEMA hasa katika kuyaona yale ambayo ama kwa Makusudi CCM haiyaoni au haiyaoni kweli ila tatizo lenu CHADEMA siku hizi mmekuwa ni Watu wa Visasi, Chuki huku mkitaka kupimana ubavu na walioshika Mpini na hapo ndipo mnakula tu za uso kila uchao.

Kuna uzi niliuandika humu nadhani wiki mbili nyuma nikiwataka CHADEMA kubadili Strategies zao otherwise kuna uwezekano mkubwa sana 2020 Chama chenu kisiwepo kabisa au kikasambaratika kwani Siasa mnazozifanya sasa ni za Kitoto mno. CHADEMA ya 2007 hadi 2014 niliyokuwa naijua Mimi siyo hii CHADEMA ya 2015 hadi sasa 2017. Jitafakarini tafadhali kwani bado hamjachelewa.
 
KIJANA WA CHADEMA (CHASO UDSM-DUCE) AKAMATWA NA POLISI.

Nimefika Chuo Kishiriki cha DUCE nimekuta rafiki yangu wa CHASO Joshua Mgallah amekamatwa na Polisi hapa DUCE ambapo CCM wanasherehe yao ya kumpongeza Magufuli ndani ya Kumbi za mihadhara ya chuo hiki cha DUCE.
Joshua Mgallah kwa taarifa za awali ametiwa nguvuni kwa kutuhumiwa kupanga njama ya kuvuruga mkutano huo wa CCM wa kumpongeza Magufuli.

Shughuli za kichama zinafanyika ndani ya chuo.... na watu wakiwemo wanafunzi wamevaa nguo za chama.
Kwa by - laws za UDSM (MAIN CAMPUS) haitakiwi hii sijui hapa DUCE.

Mwl RM. Malilo.
UDSM - DUCE
Bila polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .
 
Back
Top Bottom