Nathan Jr, Ukiachana na swala la udom kuwa na mitihani rahisi lakini ufaulu mzuri wa advance au olevel sio kigezo cha kafanya upate first class chuo.
Angalia petroleum engineering pale udsm watu wanakuja na division one za maana lakini mwisho wa siku hawatoboi kirahisi wanaanza 20 wanagraduate...
Ukiachana na majengo kuna swali linanitatiza sijapata jibu hivi kwanini kwa kipindi hichi wafuasi wa chadema wanahama sana kuhamia ccm? Na bado unasema mpo vizuri?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.