CHADEMA sasa kumekucha

CHADEMA sasa kumekucha

Kumbukeni kuwa mzoea vya kunyonga akipewa vya kuchinja lazima alalamike na hao wanao kwiba kura za watanzania mwisho wao haupo mbali
Tatizo apige asipige lakini atatangwazwa tuu mkubwa
 
Hiyo ni kauli tangu 1995 kipindi cha kina dr slaa
Kumbukeni kuwa mzoea vya kunyonga akipewa vya kuchinja lazima alalamike na hao wanao kwiba kura za watanzania mwisho wao haupo mbali
 
Sio hapa tz wewe pancha ya baiskel tuu wanaingia mvunguni na risas maji (blancoo)midume inaacha gari na biashara wanakimbia kama yamekatwa kichwa yake ya mbagala tuu yalilipuka yenyewe tuu wala hayakutumwa inavyotakiwa lakini watu walihama na huu mkoa kabisa
Kamuulizeni Albashir na Mugabe watawasimulia kuwa wananchi wana ukomo wa uvumilivu
 
Hongereni sana. Sema mmezingua kwa kuezeka mabati ya rangi ya CCM(Kijani). najiuliza kama hilo limetokea kwa bahati mbaya au liliamliwa na viongozi wakiwa conscious?
 
Ukiachana na majengo kuna swali linanitatiza sijapata jibu hivi kwanini kwa kipindi hichi wafuasi wa chadema wanahama sana kuhamia ccm? Na bado unasema mpo vizuri?
Wakati kuna watu wanajidanganya kuwa cdm inakufa sisi ndiyo kwanza tunazidi kujiimarisha kwa kuanza sasa kuimarisha na kunenga ofisi zetu za majimbo ili kujikita zaidi kwenye ngazi zote kiutawala
Hizo ofisi zipo musoma mjini na ni mali ya chama.View attachment 1084228View attachment 1084229
 
Kuhama kutoka chama kimoja kwenda kingine siyo jinai ni haki yao.

Ungeniambia kama viongozi mbalimbali wa upinzani ndiyo wanahamia ccm ningekuelewa vizuri zaidi kuliko ku generalize eti watu
Ukiachana na majengo kuna swali linanitatiza sijapata jibu hivi kwanini kwa kipindi hichi wafuasi wa chadema wanahama sana kuhamia ccm? Na bado unasema mpo vizuri?
 
Wakati kuna watu wanajidanganya kuwa cdm inakufa sisi ndiyo kwanza tunazidi kujiimarisha kwa kuanza sasa kuimarisha na kunenga ofisi zetu za majimbo ili kujikita zaidi kwenye ngazi zote kiutawala
Hizo ofisi zipo musoma mjini na ni mali ya chama.View attachment 1084228View attachment 1084229
Mbona bati nikijani au mmeungana na ccm ndio maana wabunge namadiwani wenu huwahawakawii kuunga mkono mwanzoni tuliaminishwa kuwa act nivibaraka wa ccm lakini ndio chama kinachotoa upinzani mkubwa
 
Teeeeeeeh
Teeeeeeeh
Teeeeeeeh
Ebu kuweni na heshima kidogo ACT maana mkianza majigambo mtaishia njiani
Mbona bati nikijani au mmeungana na ccm ndio maana wabunge namadiwani wenu huwahawakawii kuunga mkono mwanzoni tuliaminishwa kuwa act nivibaraka wa ccm lakini ndio chama kinachotoa upinzani mkubwa
 
Afadhali umeligundua hilo na kumpatia elimu bure huyo mwenzetu mptevu
Kuna wanasiasa wana tabia za umalaya malaya

Kuna wanasiasa wana tabia za umalaya malaya - alisema Nyerere. Majengo ya CDM hayahami chama, sio yale ya CUF
 
Mtakuwa mmekodi tu hizo nyumba huoni hata rangi zenyewe. Uwezo wa kujenga ofisi hakuna.
ccm haijawahi jenga ofisi hata moja, yote ni majengo ya wananchi. time will come when all public properties will be confisticated
 
Back
Top Bottom