Barikiwa sana kwa moyo wako wa kutoa,lkn barikiwa zaidi kwa weledi wako wa kuwajibu wenye maswali au coment za kuudhi,hakika umepania kuupata ufalme wa mbinguni yamkini haupo mbali nawe
Sent from my HUAWEI MLA-TL10 using JamiiForums mobile app
Connection kiaje kwa mfano?ni nini kinaanza kati ya kufanya kazi kwa bidii na maarifa na hiyo unayoiita connection?vijana kazeni msilishwe matango pori
Kama kuna asiye kuelewa,basi ni kwa matatizo yake binafsi,matatizo ambayo ndiyo chimbuko lenyewe la umasikini,asiye kuelewa ni sawa na mgonjwa anaekataa dawa,hatapona...any way kila mmoja aamini kwa viwango vyake vya kuamin,ndiyo maana matajiri na masikini wataendelea kuwepo kutokana na uwezo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.