Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,537
- 4,435
Hongera Sana dada wasiliana na clouds FM hapo Kuna vituo vya yatima huwa wanakwenda Hapo kuchukua vile vile wanafuata wao nguo, viatu majumbani na kupeleka kwa wahitaji
Asante mkuu, lakini mimi sina mapepo wla hizo nguo hazina mapepo, nataka nizigawe kwa moyo mweupe kabisa, kulingana na imani yangu kama nina vitu vya ziada vimelundikana na kuna wahitaji hawana ni vyema kuwagawia kuliko kuziacha tu kabatini na wakati sizivai. so kuzichoma moto sioni kama ni sawa maana nyingi bado zipo vizuri kabisa hazijachakaa. AsanteMapepo yako,ndiyo unataka kuwapa na wenzako?
choma moto au peleka kijijini kwenu kule wanaposhinda uchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazo jipya.Asanteni kwa mlionipa ushauri na maoni mazuri, nimepata kwa kuanzia, na hata mlionifata inbox tutawasiliana. MUNGU awabariki nyote.
Ningekuwa wewe ningetuma nyumbani. Kwa jina lako, huko kunauhitaji mwingi tu wa nguo. Weka kwenye basi ndugu yako atapokea mzigo na kusambaza. Si lazima upigwe picha au video. Kuwa invisible itapendeza.Asanteni kwa ushauri. Nipo Dar es salaam
Ningekuwa wewe ningetuma nyumbani. Kwa jina lako, huko kunauhitaji mwingi tu wa nguo. Weka kwenye basi ndugu yako atapokea mzigo na kusambaza. Si lazima upigwe picha au video. Kuwa invisible itapendeza.
Barikiwa sana kwa moyo wako wa kutoa,lkn barikiwa zaidi kwa weledi wako wa kuwajibu wenye maswali au coment za kuudhi,hakika umepania kuupata ufalme wa mbinguni yamkini haupo mbali naweAsante mkuu, lakini mimi sina mapepo wla hizo nguo hazina mapepo, nataka nizigawe kwa moyo mweupe kabisa, kulingana na imani yangu kama nina vitu vya ziada vimelundikana na kuna wahitaji hawana ni vyema kuwagawia kuliko kuziacha tu kabatini na wakati sizivai. so kuzichoma moto sioni kama ni sawa maana nyingi bado zipo vizuri kabisa hazijachakaa. Asante