Wapi naweza kugawa nguo kwa wahitaji?

Wapi naweza kugawa nguo kwa wahitaji?

Hakikisha umenyoosha na pasi vvizuri na umezikunja vyema.

Maana siku hizi vijijini hawataki nguo uliyokuwa umeivaa hata kama ana dhiki(japo sio wote)
 
wakuu naomba wanaofahamu vituo vya wahitaji ambapo naweza kugawa nguo kwao kwa wakati mmoja. Najua kuna maeneo kama makanisani ambapo naweza kupeleka, lakini nilikuwa nahitaji sehemu ambayo naweza wakuta katika eno moja au kituo cha wahitaji.
Mimi ni KE na nguo nazotaka kugawa ni za kike, na niseme tu sio mpya ila ni nguo zangu nyingi ambazo kwakweli sizivai na kuendeea kukaa nazo wakati kuna wahitaji naona kama ni dhambi. Najua vituo vya watoto ni rahisi kuvipata, ila hizi nazotaka kugawa ni za watu wazima.

Asante
Anika nje tu usizianue baada ya masaa kadhaa hakuna kitu "muhitaji "atakuwa keshazipitia na uuko bize mitaani akiwauzia wahitjai kwa gharama za uchukuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wakuu naomba wanaofahamu vituo vya wahitaji ambapo naweza kugawa nguo kwao kwa wakati mmoja. Najua kuna maeneo kama makanisani ambapo naweza kupeleka, lakini nilikuwa nahitaji sehemu ambayo naweza wakuta katika eno moja au kituo cha wahitaji.
Mimi ni KE na nguo nazotaka kugawa ni za kike, na niseme tu sio mpya ila ni nguo zangu nyingi ambazo kwakweli sizivai na kuendeea kukaa nazo wakati kuna wahitaji naona kama ni dhambi. Najua vituo vya watoto ni rahisi kuvipata, ila hizi nazotaka kugawa ni za watu wazima.

Asante
Nenda kanisa lolote la wasabato lililopo jirani na wewe, kuna huduma hiyo huwa ipo, peleke nguo zako mpe shemasi ama zipeleke kanisani moja kwa moja. Kuna kina mama wa dorcas huwa wanaenda kuzitoa mahospitalini na vituo vya watoto yatima na miji ya watu wasiojiweza. Hakika utabarikiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wakuu naomba wanaofahamu vituo vya wahitaji ambapo naweza kugawa nguo kwao kwa wakati mmoja. Najua kuna maeneo kama makanisani ambapo naweza kupeleka, lakini nilikuwa nahitaji sehemu ambayo naweza wakuta katika eno moja au kituo cha wahitaji.

Mimi ni KE na nguo nazotaka kugawa ni za kike, na niseme tu sio mpya ila ni nguo zangu nyingi ambazo kwakweli sizivai na kuendeea kukaa nazo wakati kuna wahitaji naona kama ni dhambi. Najua vituo vya watoto ni rahisi kuvipata, ila hizi nazotaka kugawa ni za watu wazima.

Asante
Anza na ndugu zako. Charity begins at home!
 
wakuu naomba wanaofahamu vituo vya wahitaji ambapo naweza kugawa nguo kwao kwa wakati mmoja. Najua kuna maeneo kama makanisani ambapo naweza kupeleka, lakini nilikuwa nahitaji sehemu ambayo naweza wakuta katika eno moja au kituo cha wahitaji.

Mimi ni KE na nguo nazotaka kugawa ni za kike, na niseme tu sio mpya ila ni nguo zangu nyingi ambazo kwakweli sizivai na kuendeea kukaa nazo wakati kuna wahitaji naona kama ni dhambi. Najua vituo vya watoto ni rahisi kuvipata, ila hizi nazotaka kugawa ni za watu wazima.

Asante
Peleka kwa mchungaji wa kanisa lililopo ndani ya hospitali ya Taifa Mhimbili, huwa wanagawa kwa wagonjwa wasio na ndugu-Ubarikiwe sana
 
wakuu naomba wanaofahamu vituo vya wahitaji ambapo naweza kugawa nguo kwao kwa wakati mmoja. Najua kuna maeneo kama makanisani ambapo naweza kupeleka, lakini nilikuwa nahitaji sehemu ambayo naweza wakuta katika eno moja au kituo cha wahitaji.

Mimi ni KE na nguo nazotaka kugawa ni za kike, na niseme tu sio mpya ila ni nguo zangu nyingi ambazo kwakweli sizivai na kuendeea kukaa nazo wakati kuna wahitaji naona kama ni dhambi. Najua vituo vya watoto ni rahisi kuvipata, ila hizi nazotaka kugawa ni za watu wazima.

Asante
Mkwajuni kinondoni kuna kituo cha wahitaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani imeingiliwa..nilitegemea majibu ya maana ili hata wengine tujue wanaohitaji msaada

Jf imeshakuwa ya underage

Mods nao wanawachekea watu wanaondika upuuzi kwenye mada za muhimu!!
 
wakuu naomba wanaofahamu vituo vya wahitaji ambapo naweza kugawa nguo kwao kwa wakati mmoja. Najua kuna maeneo kama makanisani ambapo naweza kupeleka, lakini nilikuwa nahitaji sehemu ambayo naweza wakuta katika eno moja au kituo cha wahitaji.

Mimi ni KE na nguo nazotaka kugawa ni za kike, na niseme tu sio mpya ila ni nguo zangu nyingi ambazo kwakweli sizivai na kuendeea kukaa nazo wakati kuna wahitaji naona kama ni dhambi. Najua vituo vya watoto ni rahisi kuvipata, ila hizi nazotaka kugawa ni za watu wazima.

Asante
Upo dunia ya ngapi mkuu!?kama ni ya tatu sahau

Sent by Diaspora
 
Back
Top Bottom