Anika nje tu usizianue baada ya masaa kadhaa hakuna kitu "muhitaji "atakuwa keshazipitia na uuko bize mitaani akiwauzia wahitjai kwa gharama za uchukuziwakuu naomba wanaofahamu vituo vya wahitaji ambapo naweza kugawa nguo kwao kwa wakati mmoja. Najua kuna maeneo kama makanisani ambapo naweza kupeleka, lakini nilikuwa nahitaji sehemu ambayo naweza wakuta katika eno moja au kituo cha wahitaji.
Mimi ni KE na nguo nazotaka kugawa ni za kike, na niseme tu sio mpya ila ni nguo zangu nyingi ambazo kwakweli sizivai na kuendeea kukaa nazo wakati kuna wahitaji naona kama ni dhambi. Najua vituo vya watoto ni rahisi kuvipata, ila hizi nazotaka kugawa ni za watu wazima.
Asante
Nenda kanisa lolote la wasabato lililopo jirani na wewe, kuna huduma hiyo huwa ipo, peleke nguo zako mpe shemasi ama zipeleke kanisani moja kwa moja. Kuna kina mama wa dorcas huwa wanaenda kuzitoa mahospitalini na vituo vya watoto yatima na miji ya watu wasiojiweza. Hakika utabarikiwawakuu naomba wanaofahamu vituo vya wahitaji ambapo naweza kugawa nguo kwao kwa wakati mmoja. Najua kuna maeneo kama makanisani ambapo naweza kupeleka, lakini nilikuwa nahitaji sehemu ambayo naweza wakuta katika eno moja au kituo cha wahitaji.
Mimi ni KE na nguo nazotaka kugawa ni za kike, na niseme tu sio mpya ila ni nguo zangu nyingi ambazo kwakweli sizivai na kuendeea kukaa nazo wakati kuna wahitaji naona kama ni dhambi. Najua vituo vya watoto ni rahisi kuvipata, ila hizi nazotaka kugawa ni za watu wazima.
Asante
PELEKA BAHIROAD/ MTAA WA KITENGE DODOMA KUNA MABINTI NA WAZEE WA KIKE WANAO ISHI KTK MAZINGIRA HATARISHI ZAIDI WATAKUSHUKURU
Anza na ndugu zako. Charity begins at home!wakuu naomba wanaofahamu vituo vya wahitaji ambapo naweza kugawa nguo kwao kwa wakati mmoja. Najua kuna maeneo kama makanisani ambapo naweza kupeleka, lakini nilikuwa nahitaji sehemu ambayo naweza wakuta katika eno moja au kituo cha wahitaji.
Mimi ni KE na nguo nazotaka kugawa ni za kike, na niseme tu sio mpya ila ni nguo zangu nyingi ambazo kwakweli sizivai na kuendeea kukaa nazo wakati kuna wahitaji naona kama ni dhambi. Najua vituo vya watoto ni rahisi kuvipata, ila hizi nazotaka kugawa ni za watu wazima.
Asante
Peleka kwa mchungaji wa kanisa lililopo ndani ya hospitali ya Taifa Mhimbili, huwa wanagawa kwa wagonjwa wasio na ndugu-Ubarikiwe sanawakuu naomba wanaofahamu vituo vya wahitaji ambapo naweza kugawa nguo kwao kwa wakati mmoja. Najua kuna maeneo kama makanisani ambapo naweza kupeleka, lakini nilikuwa nahitaji sehemu ambayo naweza wakuta katika eno moja au kituo cha wahitaji.
Mimi ni KE na nguo nazotaka kugawa ni za kike, na niseme tu sio mpya ila ni nguo zangu nyingi ambazo kwakweli sizivai na kuendeea kukaa nazo wakati kuna wahitaji naona kama ni dhambi. Najua vituo vya watoto ni rahisi kuvipata, ila hizi nazotaka kugawa ni za watu wazima.
Asante
Yaani imeingiliwa..nilitegemea majibu ya maana ili hata wengine tujue wanaohitaji msaadaAisee Jf imekuwaje jamani!!!
Mkwajuni kinondoni kuna kituo cha wahitajiwakuu naomba wanaofahamu vituo vya wahitaji ambapo naweza kugawa nguo kwao kwa wakati mmoja. Najua kuna maeneo kama makanisani ambapo naweza kupeleka, lakini nilikuwa nahitaji sehemu ambayo naweza wakuta katika eno moja au kituo cha wahitaji.
Mimi ni KE na nguo nazotaka kugawa ni za kike, na niseme tu sio mpya ila ni nguo zangu nyingi ambazo kwakweli sizivai na kuendeea kukaa nazo wakati kuna wahitaji naona kama ni dhambi. Najua vituo vya watoto ni rahisi kuvipata, ila hizi nazotaka kugawa ni za watu wazima.
Asante
Yaani imeingiliwa..nilitegemea majibu ya maana ili hata wengine tujue wanaohitaji msaada
Upo dunia ya ngapi mkuu!?kama ni ya tatu sahauwakuu naomba wanaofahamu vituo vya wahitaji ambapo naweza kugawa nguo kwao kwa wakati mmoja. Najua kuna maeneo kama makanisani ambapo naweza kupeleka, lakini nilikuwa nahitaji sehemu ambayo naweza wakuta katika eno moja au kituo cha wahitaji.
Mimi ni KE na nguo nazotaka kugawa ni za kike, na niseme tu sio mpya ila ni nguo zangu nyingi ambazo kwakweli sizivai na kuendeea kukaa nazo wakati kuna wahitaji naona kama ni dhambi. Najua vituo vya watoto ni rahisi kuvipata, ila hizi nazotaka kugawa ni za watu wazima.
Asante
Kama ni vazi la sitara kwa mujibu wa uislam naweza kukuelekeza kwa walengwa ila kama ni mavazi ya viwanja baki nayo tuAsanteni kwa ushauri. Nipo Dar es salaam
Inferiority complex!!Mapepo yako,ndiyo unataka kuwapa na wenzako?
choma moto au peleka kijijini kwenu kule wanaposhinda uchi.
Sent using Jamii Forums mobile app