Nimechoka sana na maisha

Nimechoka sana na maisha

Wewe tatizo lako haliko kwenye ulimwengu wa nje Bali kwenye fikra zako tu. Nitafute PM nikusaidie kisaikolojia
 
Tango pori!
kukata tamaa sio dhambi isiyosamehewa bali kumkufuru Roho Mtakatifu ndio dhambi isiyosamehewa.
The rest of your message is good.
kama ukirudia kuipitia post yangu nimesema "niliwahi kusikia" tena ni kwa mtu anaeaminika (pastor). hiyo ya roho Mtakatifu naijua.
 
Kuna kitu utakuwa utakuwa unakikosea kwenye maisha yako,kaa tafakari kwanza kabla ya kuchukua mahamuzi ya kujiua ,marafiki wapo na watapita ila mungu hatakupita kamwe,reset your life style after that find a new friends.
 
Alafu bado unaandika kizungu.



Wenzako wakizongwa wanaongea lugha za uzawa.. We unatema yai.

Haujakutwa na shida weww
 
kama ukirudia kuipitia post yangu nimesema "niliwahi kusikia" tena ni kwa mtu anaeaminika (pastor). hiyo ya roho Mtakatifu naijua.
sawa! lakini ukweli ni kuwa huyo mchungaji alidanganya japo yawezekana ni kwa nia njema.
Hata kwenye Bible kuna watu walikataa tamaa lakini Mungu hakuwahesabia dhambi ya kutosamehewa.
 
sioni sababu ya kuendelea kuishi duniani coz nothing is making sense to me.
Hebu RELAX
huoni sababu ya kuishi Dunian vipi unataka kuhamia Mars?( joke)
Baada ya taabu na shida nyingi mbele itarajie NEEMA naFARAJA, sasa je unataka neema yako aje ale mwingine?


in relationship but still feeling lonely.
You feel lonely since You 'r in a wrong relationship.


"Kila siku namuomba Mungu achukue roho yangu ili niweze kupumzika na hizi shida za dunia. Yan hakuna kitu kizuri ninachokiona duniani"

Badili hilo ombi kuanzia sasa hicho unachokiomba ni kibaya mno
Baadhi Waliopo huko wanaomba warejee huku,
Kule hakuna kupumzika kama tulivozoea tu kusema r.i.p
Kuanzia sasa Omba UMRI MREFU WENYE BARAKA.

""Siwezi kujiuua kwa sababu naamini hiyo ni dhambi ambayo itanipeleka kuzimu moja kwa moja.""

Unaogopa kujiua kwani utakwenda kuzimu ?
Ila unaomba ufe, jua hata ukiomba kufa utaenda huko huko.

Madeni,na kutengwa na marafiki visikufanye ukifike huko,
Hivyo vyoote ni vitu vidogo saaana
Mbona unataka kufeli kamtihani kadogo namna hiyo?
 
pole 5 months back nlikua kwenye hali kama yako nliamua niache kazi nifanye kitu kiiipya ambacho sijawahi kukifanya ni kweli nlibadilisha maisha yangu na sasa naishi maisha ya kuiona kesho njema ila warning usiniiige huku ni kubaya kama hujajipanga kwa ushauri zaidi pm me
 
Hello Jf members this is my first topic to write here. I never thought that one day I would write anything here but until today where I see life becoming so cruel to me
.
.
Naenda kuumaliza mwaka vibaya sana yaan sina raha ya maisha hata kidogo sioni sababu ya kuendelea kuishi duniani coz nothing is making sense to me.
.
.
My life is so disorganized. Am in a period where am facing karma that I created myself years back. Am employed but am not enjoying my salary, am in relationship but still feeling lonely.
.
.
I have only one prayer to God now. Kila siku namuomba Mungu achukue roho yangu ili niweze kupumzika na hizi shida za dunia. Yan hakuna kitu kizuri ninachokiona duniani. Madeni yameniandama, marafiki wamenitenga sasa bado nafanya nini duniani jamani? Sina msaada wowote duniani ni heri Mungu achukue roho yangu nife nijue moja. Siwezi kujiuua kwa sababu naamini hiyo ni dhambi ambayo itanipeleka kuzimu moja kwa moja.
.
.
Yan huwa najiuliza Mungu alinileta duniani ili nifanye nini
"Life is like a mirror, if you laugh before it, it loughs back to you and if you cry before it, it cries back to you" anonymous
 
Mkuu umenena...
Hii dunia ...
Unaweza vumilia..ukahangaika ...kutafuta tahfif...lakini ..kumbe ndio kama ulikuwa unasafisha njia ili kubwa zaidi la kutisha lije!
Hadi unajiuliza hivi nimekosa nini mimi!
Mwili ni gereza la roho.
 
badala ya kumuomba Mungu ufe nakushauri uifanyie kazi hiyo sentensi yako ya mwisho ,"Mungu ulinileta duniani ili nifanye nini?". Kila siku uwe unamuuliza Mungu na ipo siku atakupa jibu. niliwahi kusikia kwamba kutaka tamaa ni dhambi isiyosamehewa, usikate tamaa maana umeumbwa kwa sababu maalum, sali sana ili uijue hiyo sababu ya kuumbwa kwako. Roho Mtakatifu akuongoze.
ushauri wako ni wa kilokole kuliko uhalisia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom