Uoe wakati gharama za maisha binafsi tu hujamudu?
Unajishughulisha na NINI? kitu kimoja kifanye kwa moyo wote, tumia mtandao kujitangaza kama hauna akili, utashangaa umepiga hatua ndani ya miaka kadhaa (usitake kufanikiwa day 1), na usiwe na matumizi kuzidi uwezo, hifadhi akiba yako, & jifunze...
La msingi aweze kupata huduma hata kama itakuwa sio ukubwa ule, bajeti iwepo.
(Hata kama inapendeza akiweza kutunzwa kama ilivyokuwa awali na ZAIDI, kwavile sio single tena ila Maza house).
Kadada kametunzwa na kujitunza, kamevutia macho na ukaona anafaa kuwa wa ndani, ukirejea kwenye mihangaiko upate pumziko na mfanye maisha.
Ukaoa.
Sasa baada ya kukaweka ndani, unategemea kaendelee kupendeza kama ambavyo ulikakuta, ilihali wakati huu wazazi wanajua "Yupo mwanaume wa kubeba...
Sioni changamoto, kuteseka HAKUNA tuzo.
Ila tu, usiwazuie kutafuta pesa (waanze kujua kuwa hakuna vya bure, watengeneze hata bustani wauze mboga mkienda sala, waanze kuona uhalisia wa life na kutohisi kutafuta riziki ni kwa watu fulani TU, ila sio wao).
Vitu vinaanza ukiwa tumboni, sio nje.
Uwe "Ronaldo", basi mjamzito apate chakula bora, kupumzika na hata yai na mbegu iliyotumika kutunga iwe yenye afya (hakuna teja, mvuta bangi au mvivu), hii hukupa mwanzo wenye kukusaidia ufike mbali, hata hivyo NEEMA kuu ya Mungu hutubeba akina sie, ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.