Recent content by Mwezeshaji1

  1. Mwezeshaji1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi unaweza kumbaka mkeo?

    Ipo kama kubaka kwingine tu, kwanza hadi leo hajatoka tu? Jamii yetu ina wanawake wanopitia unyama, ati "ndoa", unaendeleaje kukaa sehemu unafanyiwa ukatili?
  2. Mwezeshaji1

    JamiiForums Tanzania Hela ngumu kupatikana bwana..hahah! Njoo ujipongeze

    Pongezi kwa kila mwenye kupata riziki halali. Ukiweza kutega mifereji ya kupata shilingi kadhaa, kwa jasho lako (au hata kwa kusaidiwa)...wewe sio MTU wa mchezo mchezo..heeeko👍🏾!
  3. Mwezeshaji1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maisha bila watoto wala ndoa

    Ndoa ipo, watoto hatuna (makubaliano yetu) Maisha kawaida tu, tunaishi vilevile tulikuwa kabla ya kukutana, na kufanya pamoja maisha (Tumelala hapa, mwenzangu namsikia anashusha pumzi taratibu, na mimi nikaona niingie humu kujua hili na lile).
  4. Mwezeshaji1

    JamiiForums Tanzania Naombeni kazi, ndani ya miezi miwili nipate milioni 1

    Ujuzi wako eneo gani? Watu waone utatoshea wapi
  5. Mwezeshaji1

    JamiiForums Tanzania Nini kilimpata balozi Humpley Polepole?

    Yuko waaaaaaapi Polepole? Yani tumekuwa kama mbuzi kwenye banda, anachukuliwa mmoja mmoja kuchinjwa na hakuna kitu tunaweza kufanya. Hivi ndio tumeona iwe hivi, hatuna namna nyingine?, hali hii ya KISHETANI, isiyofuata wala kutambua utaratibu halali wa sheria, itaendelea hata lini????!
  6. Mwezeshaji1

    JamiiForums Tanzania Shuhuda time: Umetendewa jambo (mambo) yapi na ungependa kutoa ushuhuda?

    Basi tuseme nini juu ya hayo, MUNGU akiwa upande wetu, ni NANI aliye juu yetu?
  7. Mwezeshaji1

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Kuezeka

    Imenoga, hongera.
  8. Mwezeshaji1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pub bila madem wenye vaibu haina ladha?

    Unafuata bia au...wadada🤣?
  9. Mwezeshaji1

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna faida gani kuzaa watoto hapa duniani? Mimi naona hakuna faida, ni kuletana kwenye shida na matatizo, pia kujiongezea majukumu tu

    Kuna watu hawana matamanio ya kuitwa Baba/mama, haimaanishi kuwa kuzaa Hakuna faida❌, hata hivyo ukiona hauna matamanio ya kuzaliana, usifuate mkumbo, endelea kuwa wewe hata iweje!
  10. Mwezeshaji1

    JamiiForums Tanzania Malezi: Tunarithishana maumivu

    Aisee! Hivi sisi tunazaa tusifiwe au kwasababu tumeamua kuvaa viatu vya uzazi na ulezi? Hata kama mtoto si wako, ilimradi uko nae, Mungu atujaalie uwezo wa kupenda (hata kama kiukweli wakati mwingine ukiwa una mzigo, huwezi kubeba mwingine huku ukitabasamu.)
  11. Mwezeshaji1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umeachana na Mume au Mke wako kwanini ukabwage watoto kwa babu au bibi zao? Jeuri ya kutoroka ndoa mlitoa wapi?

    Zaa watoto kwa mpangilio, sio machungwa hao kusema ukilisahau hakuna hasara (japo hata vyakula hutakiwi kuvitelekeza) Watu wasiopiga hesabu za malezi, gharama wanayopa watoto kubwa mnoooo...halafu utakuta wanarudi kule kule yani, kupata watoto bila mpangilio (hawajui washike wapi), hawana...
  12. Mwezeshaji1

    JamiiForums Tanzania Hivi hii Hali ni kwangu tu? Maana kuna muda kichwa kinapata moto

    Uoe wakati gharama za maisha binafsi tu hujamudu? Unajishughulisha na NINI? kitu kimoja kifanye kwa moyo wote, tumia mtandao kujitangaza kama hauna akili, utashangaa umepiga hatua ndani ya miaka kadhaa (usitake kufanikiwa day 1), na usiwe na matumizi kuzidi uwezo, hifadhi akiba yako, & jifunze...
  13. Mwezeshaji1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini mnaoa tubinti tuzuuuuri halafu mnatuchakaza?

    La msingi aweze kupata huduma hata kama itakuwa sio ukubwa ule, bajeti iwepo. (Hata kama inapendeza akiweza kutunzwa kama ilivyokuwa awali na ZAIDI, kwavile sio single tena ila Maza house).
  14. Mwezeshaji1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini mnaoa tubinti tuzuuuuri halafu mnatuchakaza?

    Huyo apate multivitamins, spa days na asaidiwe kazi, anang'aa vizuri tu. (Kama unaona hajipendi, unamtoa shopping umnunulie vitu unapenda halafu unampitisha saluni kila mwezi, atakaa sawa tu, hakuna kucharara).
  15. Mwezeshaji1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini mnaoa tubinti tuzuuuuri halafu mnatuchakaza?

    😂😂😂 inakuwa mzunguko wa kupendeza na kupauka
Back
Top Bottom