Mkope pia, akikupa basi nae sometime unamkopesha hela ambayo asiporejesha uko okay ✅
Ila hawezi kutarajia kila mwisho wa mwezi, focus na mipango yako kijana.
Ila, hivi kuanzisha family (ngono zembe) wakati hali ngumu hivyo inatokeaje hii Kiongozi?
Huyo binti hata kutaka kuondoka ni ugumu wa maisha tuu, msoto huu uwe mwenyewe, ukileta wategemezi inakuwa balaa mara mbili elfu.
Acha kuwaza siku zaidi ya uliyopo, itaondoa msongo na utapata ahueni. Toka asubuhi, tafuta vibarua halali vyovyote haswa kwenye ujenzi.
Una yeyote akukope mtaji upitishe biashara nyumba kwa nyumba/bar kwa bar (kama ulipo zimejaa?)
Mhh..ukiweza, usiache watoto mikono mitupu dunia iwachachafye.
(Hivi sisi tunazaa halafu watajijua mbele kwa mbele kwenye sehemu ambayo hata huduma za elimu na afya KUBWA unalipia😂?)
Kama hauna riziki unalala njaa KWELI, hakuna 'food stamps' wanazosemaga kwa wenzetu.
Wape elimu sawa, halafu...
I found peace after believing in Jesus. I was lost, lonely, and with an emptiness that nooooothing could fill until He found me. Receive His message, please read John 3:16, He wants you to have joy overflowing, meaning and purpose!
Jina la Bwana libarikiwe, usiache uhusiano wako na Mungu kupitia kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Ukiipata baraka kupitia maombi utahitaji kuitunza kwa maombi na si vinginevyo.
Atakayeshangaa kukosa shng mia atakuwa hajawahi kupitia sehemu ngumu, binafsi naelewa vyema.
Acha kutaka haraka, utapoteza pesa.
Nunua chupi, uza mtandaoni na tembeza mtaani.
Anza na mzigo wa laki moja.
Halafu ukiuza ndio upate hela ya kula ya siku, lasivyo kama unachota tu kila siku Ile akiba, utatafuna mtaji wote.
(Mafanikio si jambo la siku moja, unless ufanye kitu cha tofauti...
Naungana nawe, hata nami nimeona kuna juhudi na kwangu naita "rehema za Muumba", ila naona hata hizi Rehema, zinakupata ukiwa kwenye kujitafuta, unakutana na jinsi fulani ya kupiga hatua ambazo isingekuwa rehema, usingetoboa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.