Recent content by Mwezeshaji1

  1. Mwezeshaji1

    Hivi hii Hali ni kwangu tu? Maana kuna muda kichwa kinapata moto

    Uoe wakati gharama za maisha binafsi tu hujamudu? Unajishughulisha na NINI? kitu kimoja kifanye kwa moyo wote, tumia mtandao kujitangaza kama hauna akili, utashangaa umepiga hatua ndani ya miaka kadhaa (usitake kufanikiwa day 1), na usiwe na matumizi kuzidi uwezo, hifadhi akiba yako, & jifunze...
  2. Mwezeshaji1

    Kwanini mnaoa tubinti tuzuuuuri halafu mnatuchakaza?

    La msingi aweze kupata huduma hata kama itakuwa sio ukubwa ule, bajeti iwepo. (Hata kama inapendeza akiweza kutunzwa kama ilivyokuwa awali na ZAIDI, kwavile sio single tena ila Maza house).
  3. Mwezeshaji1

    Kwanini mnaoa tubinti tuzuuuuri halafu mnatuchakaza?

    Huyo apate multivitamins, spa days na asaidiwe kazi, anang'aa vizuri tu. (Kama unaona hajipendi, unamtoa shopping umnunulie vitu unapenda halafu unampitisha saluni kila mwezi, atakaa sawa tu, hakuna kucharara).
  4. Mwezeshaji1

    Kwanini mnaoa tubinti tuzuuuuri halafu mnatuchakaza?

    😂😂😂 inakuwa mzunguko wa kupendeza na kupauka
  5. Mwezeshaji1

    Kwanini mnaoa tubinti tuzuuuuri halafu mnatuchakaza?

    Nimewasilisha hoja, sio lazima tuone sawa, hivyo ukosoaji RUKSA.
  6. Mwezeshaji1

    Kwanini mnaoa tubinti tuzuuuuri halafu mnatuchakaza?

    Kadada kametunzwa na kujitunza, kamevutia macho na ukaona anafaa kuwa wa ndani, ukirejea kwenye mihangaiko upate pumziko na mfanye maisha. Ukaoa. Sasa baada ya kukaweka ndani, unategemea kaendelee kupendeza kama ambavyo ulikakuta, ilihali wakati huu wazazi wanajua "Yupo mwanaume wa kubeba...
  7. Mwezeshaji1

    Kuna muda nahisi watoto wangu hawaijui hali halisi ya maisha naogopa wakija kuyajua ukubwani bila uangalizi watajifunza kwa maumivu na aibu

    Sioni changamoto, kuteseka HAKUNA tuzo. Ila tu, usiwazuie kutafuta pesa (waanze kujua kuwa hakuna vya bure, watengeneze hata bustani wauze mboga mkienda sala, waanze kuona uhalisia wa life na kutohisi kutafuta riziki ni kwa watu fulani TU, ila sio wao).
  8. Mwezeshaji1

    Nina Milioni hamsini, naweza kujenga nyumba Dar?

    Nyumba ya vyumba vitatu Mkuu, bado sebule, sijui stoo, jiko, etc Anyway, huenda akaweza kwa hesabu tight.
  9. Mwezeshaji1

    Nina Milioni hamsini, naweza kujenga nyumba Dar?

    Huenda boma, ila finishing mmh...ujenzi unachota hela kama maji, msingi tu utashangaa 15 imekata au zaidi.
  10. Mwezeshaji1

    Kwanini unapambana? Hela ya kula tu au una JAMBO linaloiambia nafsi "usilete ujinga, kaza"

    Eti mwana jamii forum, ipi ndio sababu hauna mchezo, wala lelemama na utafutaji🤔? Binafsi: sina hamu na UMASIKINI
  11. Mwezeshaji1

    Msisitizo! Hakuna kipaji (inborn ability), mtu huwa na uwezo wa kitu fulani baada ya kuzaliwa

    Vitu vinaanza ukiwa tumboni, sio nje. Uwe "Ronaldo", basi mjamzito apate chakula bora, kupumzika na hata yai na mbegu iliyotumika kutunga iwe yenye afya (hakuna teja, mvuta bangi au mvivu), hii hukupa mwanzo wenye kukusaidia ufike mbali, hata hivyo NEEMA kuu ya Mungu hutubeba akina sie, ambao...
  12. Mwezeshaji1

    Nilichokiona kwenye kioo mida hii saa sita kasoro usiku

    Umerekodi kwa simu, ili tuone ndio tushauri😅?
  13. Mwezeshaji1

    Napendekeza katika ndoa kuwe na 50/50 kama kupika na sisi wanaume tuwe tunapika

    50/50 ni mwanaume kupika, kutunza familia kikipato huku akisaidia malezi ya watoto n.k Mwanamke kubeba ujauzito, kuzaa, kusaidiana kulea. (Mwanamke tayari bailojia imemkatia 50%, hatakiwi kuongeza VINGINE isipokuwa wanaonewa).
Back
Top Bottom