Yuko waaaaaaapi Polepole? Yani tumekuwa kama mbuzi kwenye banda, anachukuliwa mmoja mmoja kuchinjwa na hakuna kitu tunaweza kufanya.
Hivi ndio tumeona iwe hivi, hatuna namna nyingine?, hali hii ya KISHETANI, isiyofuata wala kutambua utaratibu halali wa sheria, itaendelea hata lini????!