Sifa
Uwe na leseni
Uwe na kijiwe maalum (hasa wilaya ya temeke)
Mwenye Elimu ya form 4 au zaidi utapewa kipaumbele zaidi
Ukiwa mkazi wa temeke utapewa kipaumbele zaid.
Zama pm kwa mawasiliano zaidi
Juzi usiku mida ya kama saa5 hivi kulikiwa na foleni kubwa sana mandela road barabara ilifungwa kwa masaa karibu mawili na umeme ulikatika kutokana na nguzo mbili za umeme pale bandari kavu ya mwananchi kuangushiwa barabarani.
Nikasikia tetesi(umbeya) kutoka kwa wananchi kwamba kuna mheshimiwa...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Wanahitajika wasambazaji wa ice cream
Malipo ni kutokana na mauzo yako
Utauziwa ice cream kwa sh.50 na kuuza kwa bei uipendayo(zinauzwa kuanzia sh.100-200).
Kiwango cha chini cha idadi ya ice cream ni 100.
Fursa pia ya kuongeza faida kwa wenye...
Kuna mtu anakodisha gari yake kwa ajili ya makampuni(hotel,escorting car, utalii, harusi n.k)
Gari ina siti za watu saba, lipo katika mazingira mazuri na ina muonekano bomba.
Malipo ni makubaliano inategemea na aina ya mkataba
Mcheck 0629992942 kwa mawasiliano zaidi
Hawa itakuwa sababu ni ule uzi wa gire nilikuwa nawafuatilia sana
Waliotoa vichambo sana wote wamepigwa ban check wakina mumu happiness001 Shunie @witnesj amu
Nashangaa Mzigua90 na Simara wameponaje ponaje
Kwa ninavyoelewa mimi kutokana na lafudhi yetu ya kitaa danga ni kitendo (kumchuna mtu)
Kinaweza kufanywa na mwanaume au mwanamke
Ukisikia mdada anasema anaenda kudanga au anadanga ina maana anaenda kutumia papuchi yake kutengeneza pesa
Na tafsiri nyingine
Danga ni buzi(fataki/atm machine etc)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.