Msichana wa M-PESA anatakiwa

Msichana wa M-PESA anatakiwa

Karibu ufanye kazi kwenye duka la wakala.
Elimu si chini ya form IV na uwe unaishi Dar es Salaam, Ubungo. Masaa ya kazi: saa 12 asubuhi hadi saa 4 usiku.
Mshahara utategemeana na sifa za mwombaji, na si zaidi ya laki moja. Karibu PM, taja sifa zako, mahali ulipo, picha moja na weka mawasiliano yako.

Hakuna interview. Only successful candidate will be contacted.
MM wa kiume ila nina uzoefu na kazi hiyo nimefanya zaidi ya miezi mitatu nipo kimara mwisho namba zangu
0677003000
IMG_20180815_133658.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karibu ufanye kazi kwenye duka la wakala.
Elimu si chini ya form IV na uwe unaishi Dar es Salaam, Ubungo. Masaa ya kazi: saa 12 asubuhi hadi saa 4 usiku.
Mshahara utategemeana na sifa za mwombaji, na si zaidi ya laki moja. Karibu PM, taja sifa zako, mahali ulipo, picha moja na weka mawasiliano yako.

Hakuna interview. Only successful candidate will be contacted.
masikini kumbe hii kazi interview yake imefanywa kwa KY jelly.
 
Alipatikana wa humuhumu JF?
mkuu huyo aneyesemwa kuwa alipewa hiyo kazi ameshafungua thread humu ya mrejesho wa interview ya hii kazi na yaliyojiri kwenye kachumba cha interview husika ambapo ameweka wazi kuwa KY jelly ilihusika wakati wa interview.
 
Back
Top Bottom