Watanzania ni kichwa cha wendawazimu..siku moja utagundua hilo..yaan million 45 wenye akili moto kama milion 1 tu wengine mbululaz.
Utabisha...
Hapa watu wana akili za kuvukia barabara tu.
Ushaona wamegomea kitu..ushaona wakipinga kitu..ina maana mambo yoote yanaenda sawa.
Ukimya ni busara...
Mara nyingi utaitwa shujaa wakati umeshakufa...wewe mwenyewe umeshasema jamaa ana hela na wewe huna..
Asikudanganye mtu..labda iwe sio bongo fungua keso na uwezi kushinda.
Fanya tathimin kama vita huiwezi tafuta ugali wa wanao..usiwatese.
To retreat is to advance in another directon
Pole sana...nakushauri usitafute kitu ambacho huna uhakika wa kukipata..umesharipoti hilo tukio inatosha.
Tafuta kazi sehemu nyingine..kama mtu alikuwa tayari kukuua mchana kweupe..unadhani ukianza kushindana nae atashindwa kukubambikia issue ili ufungwe jela na familia yako iteseke.
Anza...
Kuhusu kuoga maji ya baridi..nimewapa tiba ambayo ni bure..naona mnaamini tiba za kulipia..na kumeza tembe..sawa endeleeni na imani hiyo.
Inagharimu nini kujaribu kuoga maji ya baridi mara kadha kwa siku huku ukifwatilia maendeleo ya sukari yako alafu uje na facts kuwa haisaidii chochote.
Hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.