Mjengo wa Drogba Noma Sana

Mjengo wa Drogba Noma Sana

Nna penda kusema kwamba.

Kama nyumba hiyo iko ulaya ni kama ameazimwa tu..afadhali iwe africa anaweza aKaishi humo mpaka akapata wajukuu.
 
Nna penda kusema kwamba.

Kama nyumba hiyo iko ulaya ni kama ameazimwa tu..afadhali iwe africa anaweza aKaishi humo mpaka akapata wajukuu.

Afrika baada ya mwezi vita..anakimbia analiacha waasi wanafanya pagala au kambi ya kivita. "Africa no good!"

Bora amelijengea ulaya lina mabima 800.
 
Bila shaka huo mjengo utakuwa kaujenga huko Ulaya kama angekuwa kaujenga kwa Ivory Coast ningemwona wa maana sana.
 
Kwa gharama hiyo ya Paundi Mil 14 ni sawa na karibia Tshs Bil 37. Hivi kwa nchi kama yake ya Ivory Coast angeweza hiyo pesa kujenga hospital kubwa tuu kama vile ya watoto au magonjwa kama Moyo sii hata huo mpira ukiisha mguuni heshima yake inabaki siku nyingi zijazo?
Ni kweli kila mtu anao uhuru wa kutumia pesa yake apendavyo lakini ni muhimu wakati mwingine kuangalia jamii uliyotoka iko katika maisha ya aina gani. Pamoja na juhudi zake bado mafanikio mengine ni bahati tuu maana wote hawawezi kucheza mpira na kufanikiwa kwa kiasi hicho.
 
Jengo liko UK na uzuri zaidi nyumba zinapanda thamani kila kukicha kwa hiyo ni faida kwake, asset ya uhakika hiyo
 
Kweli Fanya Kazi kama mtumwa uishi Kama mfalme, dah! The King Drogba ndiyo mchezaji pekee duniani mwenye Mjengo wenye thamani kubwa zaidi uliomgharimu paundi mil 14 point kadhaa. Maelezo zaidi.

attachment.php

http://www.talkofnaija.com/entertainment/photos-drogba-s-house-in-england-estimated-at-14-5m-pounds
 
Watu na mkwanja wao .. hii ya bill gates ya kutunza mti wenye miaka 40.. ulioko kwake ndo kali zaidi .. mti huu unatunzwa kwa computer
" a forty-year-
old maple tree adjacent to the driveway was
preserved. The tree is monitored
electronically 24 hours per day via computer.
If it becomes too dry, water is automatically
pumped into it "
 
Alisha jenga hospitali huko kwao mkuu.wa gharama hiyo ya Paundi Mil 14 ni sawa na karibia Tshs Bil 37. Hivi kwa nchi kama yake ya Ivory Coast angeweza hiyo pesa kujenga hospital kubwa tuu kama vile ya watoto au magonjwa kama Moyo sii hata huo mpira ukiisha mguuni heshima yake inabaki siku nyingi zijazo?
Ni kweli kila mtu anao uhuru wa kutumia pesa yake apendavyo lakini ni muhimu wakati mwingine kuangalia jamii uliyotoka iko katika maisha ya aina gani. Pamoja na juhudi zake bado mafanikio mengine ni bahati tuu maana wote hawawezi kucheza mpira na kufanikiwa kwa kiasi hicho.[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom