Kuendekeza ofa kutawamaliza wanawake

Kuendekeza ofa kutawamaliza wanawake

hahahahah..... We mwenyew stranger, how come unaanza kum-test galfriend wako kwa ujinga huo???

Huo sio ujinga...ila alikusudia kujiridhisha kama mpenzi wake ni mwepesi kuitika kwa dume lolote alimuradi akiahidiwa mambo mazuri.
 
juzi niliamua kumzingua mmoja kati ya wapenzi wangu kwa kutumia namba mpya ambayo haijui tukawa tunachat mwisho wa siku nikamuomba nimtoe for lunch akasema nimtumie nauli nikamtumia na kweli akaja akanikuta namsubiri eneo la tukio nikamwambia mbona umewahi sana akabaki kutoa macho nusura aanguke sasa kiumbe kama huyu unamfanyaje,wanawake mtatuua utaendaje kula lunch na stranger ndiomaana mnauliwa

Huyo ndo mzuri anayekufaa wew...coz c umesema una wapenz(maana yake unao wengi, sasa kwa nn yeye awe na wew pekee???). Na kwa wale mnaolalamika mki-proach leo...hamtaki kalenda...mwataka leo leo upewe jibu na namba na pappuchi...,MNATAKIWA KUMPA BIG-UP DEMU WA MTOA MADA...na ikibidi ombeni awape namba ya uyo dem wake.
 
juzi niliamua kumzingua mmoja kati ya wapenzi wangu kwa kutumia namba mpya ambayo haijui tukawa tunachat mwisho wa siku nikamuomba nimtoe for lunch akasema nimtumie nauli nikamtumia na kweli akaja akanikuta namsubiri eneo la tukio nikamwambia mbona umewahi sana akabaki kutoa macho nusura aanguke sasa kiumbe kama huyu unamfanyaje,wanawake mtatuua utaendaje kula lunch na stranger ndiomaana mnauliwa

Huyo ni mmoja kati ya wapenzi wako...na wew ni mmoja kati ya wapenzi wake=ffty fifty...haki sawa kwa wote. SASA Kwa hao wapenz wako walobaki nipe namba ya mmoja na mm nipime uaminifu wake, NITAKULETEA FEEDBACK...mpaka nikimaliza kuwatest hao wapenz wako walobaki uaminifu wao. NAMI NAKULA KIAPO KWAKO...nitakuwa mwaminifu kwa zoezi hilo plZ.
 
Inawezekana hujawahi kumtoa kwenda kula chakula cha mchana sasa kwa nini asiende kama kaitwa. Kwa sababu ushajua udhaifu wake basi huna budi kuwa unampeleka kwa chakula cha mchana sasa. Alikuwa anabadilisha mazingira tu. Pia siyo vizuri kupima imani ya mtu.
 
Wewe ni mmoja kati ya sisi wapenzi wake.Alishangaa sababu alijua atanikuta mimi ninayemtoaga out si wewe mkuu.Nacheeeka!
 
Mkuu kaa ujue hakuna cha mwanamke mdogo au mgeni kwenye Ofa
Njaa ndio inatumaliza
hata katoto ka Primary kangekulia vipsi vya vyako vyoda vyako na kwenye 6 x 6 USINGEKAUA
umejibu vyema
 
Mkuu tjikuzi kawaida, ukitest tu unaambiwa tuma nauli, ya saloon, na ya kumpa shost yangu anabethidei. Hahaa
 
Huo sio ujinga...ila alikusudia kujiridhisha kama mpenzi wake ni mwepesi kuitika kwa dume lolote alimuradi akiahidiwa mambo mazuri.
sasa kama we ulmpata kirahisi unategemea wengine wakataliwe? come on boyz
 
Juzi niliamua kumzingua mmoja kati ya wapenzi wangu kwa kutumia namba mpya ambayo haijui tukawa tunachat mwisho wa siku nikamuomba nimtoe for lunch.

Akasema nimtumie nauli nikamtumia na kweli akaja akanikuta namsubiri eneo la tukio nikamwambia mbona umewahi sana akabaki kutoa macho nusura aanguke sasa kiumbe kama huyu unamfanyaje, wanawake mtatuua utaendaje kula Lunch na stranger ndiomaana mnauliwa.

Hahah kula lunch na stranger sio kosa ndio mwanzo wa kujuana ila apo pa kuomba nauli says alot
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom