ulichukua statement ya muda gani? kwa nnavyojua ukiomba statement ya kati ya mwezi hadi miezi mitatu ni bure, zaidi ya hapo wanatoza kadiri muda unapokuwa mrefu.
Mkuu benki statimenti uwa wanatuma free ukiwa na email, wateja wa crdb wanapata bure kila mwezi, ila kwa ignorance lazma utozwe.Nilishangazwa na hii kitu majuz nilipoenda kuchukua Bank Statement ya A/C yangu then nikaambiwa unalipia 11,000/= !! Nikajiuliza ni ile ya karatasi,wino wa printer na pen za kusain au mengine !????
Watumiaji wa NMB, EXIM na nyinginezo nanyi mukatatwa viwango hv? Na nani anazisimamia haya mashirika ili yasiwanyonye wateja wao ???
leo mie nimeenda kulipia bill ya maji nikaambiwa nitoe elfu moja "kamisheni"
Nimeshangazwa sana.
Mkuu ilikuwa majuz tu ni alhamis hapa ndipo nilipoitaj na nikitaka ya kuanzia tarehe za 30/12/2014 mpk ya tarehe 15/01/2015 ndipo waliponiambia tunakukata 11,000/ na kisa cha kutaka statement baada ya kwenda atm nikaona salio langu silielewelew ndipo nikaona her nichukue statement
Crdb wanatoa bank statement bure kwa kila mwezi;ukitaka kwa robo mwaka na kuendelea hapo ss ndo kuna mambo ya makato;ila waweza kwenda kwa branch mgr coz inaonekana wamekuibia
Siku hizi siweki pesa bank miaka 3 sasa imepita. Nilinote mambo mengi ya k.i.s.e.n.g.e na k.i.k.u.m.a yanayofanywa na ma bank yetu hapa bongo hasa crdb.
Stanbic Bank statement ni free of charge!
Ok sawa mkuu nimekusoma
ulichukua statement ya muda gani? kwa nnavyojua ukiomba statement ya kati ya mwezi hadi miezi mitatu ni bure, zaidi ya hapo wanatoza kadiri muda unapokuwa mrefu.