Recent content by Mwax 1

  1. Mwax 1

    Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza Matokeo ya Kidato cha Nne 2015

    Kuna dogo apa ana physics=D,chemistr=D,mathmatics=D,english=B,mengne hayo yote ana C je huyu kombi zipi ztamfaa...ye anapenda sayansi
  2. Mwax 1

    KTN-Kenya kuonyesha EPL live!

    kwa wale wenye ving'amuzi vinavyokamata hii channel sasa wataenjoy epl live,..kwa leo watarusha game ya everton vs west brom saa 6:00 pm(EAT)
  3. Mwax 1

    KTN-Kenya kuonyesha EPL live!

    kwa wale wenye ving'amuzi vinavyokamata hii channel sasa wataenjoy epl live,..kwa leo watarusha game ya everton vs west brom saa 6:00 pm(EAT)
  4. Mwax 1

    Acheni tabia ya kuombaomba na kutongoza tongoza

    wakiona wallet imejaa tayari unakuta **upi imeanza kulowana
  5. Mwax 1

    msaada:ma game yanayo support kwenye nokia asha 501

    km heading ilivyojieleza tafadhal naomba msaada
  6. Mwax 1

    Wanafunzi kidato cha nne waliomaliza mwaka jana matokeo yao yatapangwa kwa mfumo upi?

    Nadhani wengi wetu tumesikia juu ya kufutwa kwa mfumo wa GPA na kurudishwa kwa mfumo wa zamani katika upangaji wa matokeo ya shule za sekondari. Swali langu je wanafunzi wa kidato cha nne waliomaliza mwaka jana na matokeo yao yanatarajiwa kutoka mwezi ujao ni mfumo upi utatumika ktk matokeo yao?
  7. Mwax 1

    Natafuta rafiki wa kike

    Natafuta rafiki wa kike awe kati ya miaka 20-25
  8. Mwax 1

    Kwanini watu wanaoana?

    aaah!! Kugegedana tuu...!
  9. Mwax 1

    ulishawah?

    Kung fu panda
  10. Mwax 1

    Zawadi for my baby

    pole sana ila subiri vijana wa mjn wakufanyizie
  11. Mwax 1

    Sammatta apata timu Ulaya

    niliskiaga anaenda Lille ya ufaransa
  12. Mwax 1

    Leicester City, Special Thread

    duuh! Leicister?
Back
Top Bottom