Nadhani wengi wetu tumesikia juu ya kufutwa kwa mfumo wa GPA na kurudishwa kwa mfumo wa zamani katika upangaji wa matokeo ya shule za sekondari.
Swali langu je wanafunzi wa kidato cha nne waliomaliza mwaka jana na matokeo yao yanatarajiwa kutoka mwezi ujao ni mfumo upi utatumika ktk matokeo yao?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.