hahha umeona eeh.. nilitaka sema huo msemo that hasomeshwi. anajiona kamueza kumbe nae dem anamuona kamueza kwa kumchuna.lol.
HAPO KWENYE RED...
ushauri: mchumba/demu hasomeshwi (hili ni time bomb...) watano hivi..)........
- Unakuta mtu kama huyu mama yake yuko kijijini analala nyumba inavuja mvua ikinyesha.
- wadogo zako wanarudishwa ada kila siku, ukiambiwa unasema pesa huna
- wadogo zako wanasoma shule ya kata
- Unaishi kwenye nyumba ya kupangisha
- ndugu zako wakiomba msaada unawakimbiza, unasema huna
- mbaya zaidi kama demu yuko chuo (hasa hapo udsm) unakuta anatoka na lecturer, ana sharobaro wake chuoni (kama watano hivi..)
- ........
- ........
........
ushauri: mchumba/demu hasomeshwi (hili ni time bomb...)
wewe unahonga gari tena spacio, wenzako hawaongi na wanapiga kama kawa... MAPENZI NI ZAIDI YA KUHONGA..
Bad news in town ni kwamba ni baby girlfriend wangu kesho ninamkabidhi zawadi yake gari aina ya Toyota spacio sasa wale wapuuzi mliozoea kumnyatia udsm au hostel kwake mabibo nadhani muache tu kesho nampa funguo mliozoea kumpa lift poleni
Mafuta nagharamia
Service nagharamia
Ada ya chuo nagharamia
Hapa nani wa kumshawishi achepuke??????
Mmeshindwa pokeeni pole
Na hapo ndipo kwenye UJINGA wako. na siku ukizinduka itakua too late. Pole sana.Umepatia namba 4 tu
Bad news in town ni kwamba ni baby girlfriend wangu kesho ninamkabidhi zawadi yake gari aina ya Toyota spacio sasa wale wapuuzi mliozoea kumnyatia udsm au hostel kwake mabibo nadhani muache tu kesho nampa funguo mliozoea kumpa lift poleni
Mafuta nagharamia
Service nagharamia
Ada ya chuo nagharamia
Hapa nani wa kumshawishi achepuke??????
Mmeshindwa pokeeni pole
Daa kweli kila mtu na nyota yake natamani na mimi ningepata mpenz kama fredericko wa kunipa gari na kunilipia tuition fee huyu nilie nae hata nauli ya daladala ni shida kuitoa tena nilimpatia humuhumu Jf
Iam 32 uzoefu ninao
Of course mimba lazima asee ili nimfunge kabisaaa
Bad news in town ni kwamba ni baby girlfriend wangu kesho ninamkabidhi zawadi yake gari aina ya Toyota spacio sasa wale wapuuzi mliozoea kumnyatia udsm au hostel kwake mabibo nadhani muache tu kesho nampa funguo mliozoea kumpa lift poleni
Mafuta nagharamia
Service nagharamia
Ada ya chuo nagharamia
Hapa nani wa kumshawishi achepuke??????
Mmeshindwa pokeeni pole