C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,074
- 3,743
Last edited by a moderator:
Yeah! Kwa BPL, bado pabichi sana muda huu. Ikifika huko Feb, hata akina Aston Villa (Timu za mkiani) huwa wanaamka na kuifanya ligi kuwa tamu.kweli kabisa . Pumzi itakata tu hawa ...wenye ligi yao watachukua nafasi zao
Hapa die hard fans wa leicester tutakuwepo. kwanza tupongezane christmas tunakula vizuri
hivi leicester haipaswi kushabikiwa eenhe??? sina vifungo vya ushabiki tena england ndo kabisaaaaaa. huko timu yangu ni bournermouth toka wapo championshipKutokujitambua ndo huku au kufuata upepo au kuna uwezekano umekimbia Chelsea, Liverpool, au Manu. Acha kiherehere!
Hii thread imeanzishwa baaada ya Lecester kuifunga Manutd?
hivi leicester haipaswi kushabikiwa eenhe??? sina vifungo vya ushabiki tena england ndo kabisaaaaaa. huko timu yangu ni bournermouth toka wapo championship