Wazo Langu
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 1,381
- 842
Hiyo ni kweli, wanaume ndivyo tulivyo, ukimuona mwanamke amependeza lazima, umtongoze, hii ni nature, mwanamke ameulamba asipotonozwa ataanza kujiuliza sijapendeza nini? Hakuna hata mwanaume ananisemesha, wanamke hana uwezo wa kimtongoza mwanaume, hawa ni wachache Sana. Kwa hiyo wanawake mtuvumilie sisi wanaume.
Kuna kijanaume kimenitongoza kimenikera.
Nusu nimzabue mikofi.