Neno daladala ckumbuki exactly mwaka lilipoanza kutumika icpokuwa reason ya kuitwa hivyo ni Kuwa wakati huduma zinaanza nauli yake ni sh 5 ambayo exchange rate yake kwa kipindi hicho ilikuwa ni $1 sasa watu badala ya kusema dollar wakawa wanaita dala. Ni sawa na eneo la chekereni pale...
Picha tafadhali,pia fafanua ajali ilikuwaje kuwaje na kuna msaada wowote uliotolewa mpaka sasa? Vp hali za majeruhi na kama kuna aliepoteza maisha,plz tujuze
Olesaidimu upo mkuu? Kuna link moja nimeiona mahali inasema ndege ipo Saudi Arabia kwenye yard moja kubwa sana ya prince na Abiria wote wapo safe.ngoja niitafute muione wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.