Malaysian Prime Minister: Flight M 370 Malaysia Plane Crashed Into Indian Ocean

Malaysian Prime Minister: Flight M 370 Malaysia Plane Crashed Into Indian Ocean

mzenjiboy

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2010
Posts
907
Reaction score
387
Waziri Mkuu wa Malaysia punde hivi ameihakikishia dunia ya kuwa ndege yao imeangukia katika bahari ya Hindi, hii ni kwa mujibu wa experts wa satellite.
=============================================

Ndege ya Malaysia MH320 ilitoweka ikiwa na abiria 239 baada ya kuruka kutoka uwanja wa ndege wa Kuala Lumpur tarehe 8 mwezi huu.
Aidha tangazo hilo limekuja huku juhudi za kutafuta mabaki ya ndege hiyo Kusini mwa Bara Hindi zikimalizika kwa siku ya tano bila mafaniko.
Waziri mkuu wa Malaysia amesema kuwa ndege hiyo ilianguka Kusini mwa Bahari Hindi, bila ya manusura wowote.
Aliambia waandishi wa bahari kuwa udadisi uliofanyiwa data ya Satelite kutoka Uingereza ndio umewathibitishia kwamba ndege hiyo ilimalizia safari yake Magharibi mwa mji wa Perth mbali na eneo lolote la kutua.
Ameomba vyombo vya habari kuheshimu familia za watu waliokuwa ndani ya ndenge hiyo, akisema kuwa anasikitishwa sana kwani kipindi chote walichosubiri taarifa njema , mwishowe imekuja kuwa taarifa mbaya hata zaidi.
Ndege ya Malaysia MH-370, ilipoteza mawasiliano wiki mbili zilizopita na meli za nchi mbali mbali pamoja na ndege zimekuwa zikitafuta angalau mabaki ya ndege hiyo bila ya kupata chochote.
chanzo:
http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2014/03/140324_malaysia_.shtml


"They have told us all lives are lost," relative of missing passenger tells CNN Malaysia Airlines Flight 370 went down over the southern Indian Ocean An Australian aircraft spots two objects: one circular, the other rectangular Earlier, a Chinese plane saw "two relatively big floating objects," Xinhua reports.
Source:CNN
 
Waziri Mkuu wa Malaysia punde hivi ameihakikishia dunia ya kuwa ndege yao imeangukia katika bahari ya Hindi, hii ni kwa mujibu wa experts wa satellite.

Imeangukia ,imezamishwa au imeangushiwa????!!!!
 
Wanasema ni west of Australia, na wamesema imeanguka tu bila ya kufafanua zaidi.
 
"They have told us all lives are lost," relative of missing passenger tells CNN Malaysia Airlines Flight 370 went down over the southern Indian Ocean An Australian aircraft spots two objects: one circular, the other rectangular Earlier, a Chinese plane saw "two relatively big floating objects," Xinhua reports.
Source:CNN
 
waziri mkuu wa malaysia RAZAK ametangaza rasmi kuwa,ndege MH370 ilianguka na kuzama ktk bahari ya hindi na wasafiri wote waliokuwemo ndani ya ndege wamepoteza maisha yao
chanzo: cctv news

Shirika la ndege la Malaysia limewaambia jamaa na familia za abiria waliokuwa wanasafiri kwa ndege iliyotoweka MH370 kwamba ndege hiyo imepotea na kwamba hakuna manusura.
Tangazo hilo limetolewa kwa familia hizo kwa njia ya ujumbe wa simu ya mkononi , ambao BBC iliweza kuuona.
Ndege ya Malaysia MH320 ilitoweka ikiwa na abiria 239 baada ya kuruka kutoka uwanja wa ndege wa Kuala Lumpur tarehe 8 mwezi huu.
Aidha tangazo hilo limekuja huku juhudi za kutafuta mabaki ya ndege hiyo Kusini mwa Bara Hindi zikimalizika kwa siku ya tano bila mafaniko.
Waziri mkuu wa Malaysia amesema kuwa ndege hiyo ilianguka Kusini mwa Bahari Hindi, bila ya manusura wowote.
Aliambia waandishi wa bahari kuwa udadisi uliofanyiwa data ya Satelite kutoka Uingereza ndio umewathibitishia kwamba ndege hiyo ilimalizia safari yake Magharibi mwa mji wa Perth mbali na eneo lolote la kutua.
Ameomba vyombo vya habari kuheshimu familia za watu waliokuwa ndani ya ndenge hiyo, akisema kuwa anasikitishwa sana kwani kipindi chote walichosubiri taarifa njema , mwishowe imekuja kuwa taarifa mbaya hata zaidi.
Ndege ya Malaysia MH-370, ilipoteza mawasiliano wiki mbili zilizopita na meli za nchi mbali mbali pamoja na ndege zimekuwa zikitafuta angalau mabaki ya ndege hiyo bila ya kupata chochote.
chanzo:
http://www.bbc.co.uk/swahili/habari/2014/03/140324_malaysia_.shtml



 
"They have told us all lives are lost," relative of missing passenger tells CNN Malaysia Airlines Flight 370 went down over the southern Indian Ocean An Australian aircraft spots two objects: one circular, the other rectangular Earlier, a Chinese plane saw "two relatively big floating objects," Xinhua reports.
Source:CNN

Daah Mungu awape nguvu ndugu wote wa wafiwa..amen!
 
Angalau ndugu wanajua nin kimetokea kwa ndugu zao.Ni taarifa ngumu kuzitangaza ila ndugu inabid tu waupokee ukwel.Mkuu wa kaya ukituma salama za rambi rambi kwa rais wa China kwa niaba ya watanzania usisahau ambatanisha na RIP yangu.
 
Dah kifo cha maji na moto jamani nyie acheni tu' wapumzike kwa Amani
 
Back
Top Bottom