Jamani ni kawaida kwa Taasisi kutangaza katika vyombo vya habari mtumishi akiacha Kazi hata kwa kufuata taratibu hii hulinda kampuni endapo itatokea mtumishi akatumia jina la kampuni kwa manufaa yake binafsi hvyo masele baada ya kupata ubunge aliacha Kazi tigo tatizo liko wapi?
Kichekesho professor anasema wamelipa takribani Bil 66 kwa kampuni ya mkono kama gharama za uwakiri hivi mkono hiyo Kazi ya uwakili alijipa mwenyewe na kabla hajafanya Kazi za uwakili si waliingia makubaliano sasa hzo story anazileta hapa za nini?
Jamani TGTS D1 na TGS D1 ni tofauti msikalili kwa b'se TGTS this is Tanzania Government Teachers Scale na TGS Tanzania General Scale hzi ngazi za mishahara hazifanani previously TGTS ilikuwa kubwa but kuanzia July 2014 TGS ni kibwa kuliko TGTS na sababu ya kuwa kubwa vidato vya TGTS...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.