Utumishi wametoa majina ya walioitwa kazini

Utumishi wametoa majina ya walioitwa kazini

kuna rafiki yangu kapata Afisa Utumish..... alisoma Mzumbe

ye kapata kupitia Mgongo wa mtu
 
inferiority complex.. jiamin mkuu! kwani lazima tujue chuo ulichosoma ni bora kuliko vingine..what matters most elimu uliyoipata imekukomboa!!?

Angesoma Havard huyu angetuona wote kunguru. Mzumbe tu hapo anapayuka.
 
Pumbavu we! hiyo hela unaiona nyingi sana.Alafu uwe na akili kidogo hiyo ni TGS D1 kwa anayeanza.

Tehhhh tehhhhhhhh kwa private sekta ni ndogo ila ktk halmashauri zetu hz unaambiwa mtu haishi kwa mshahara......... La msingi uwe na cheo chenye fursa

katka halmashauri hata kwa mashahara wa laki 4 kafanye ili mradi uwe na cheo kama cha afisa utumishi n.k
 
Kwa fani za uongozi mzumbe inawesa kuwa kali zaidi kuliko havard... Kwa context ya Tanzania na afrika

havard inasifika ktk sheria
So hiyo ndio point ya kujinasibu. What if waombaji wengi walitokea Mzumbe kuliko vyuo vingine..!!! It's obvious kwamba wengi wangekuwa selected. Btw, mi sio mshabiki wa vyuo ila naona kuna dosari kwa huyo mshabikia vyuo.
 
Jamani TGTS D1 na TGS D1 ni tofauti msikalili kwa b'se TGTS this is Tanzania Government Teachers Scale na TGS Tanzania General Scale hzi ngazi za mishahara hazifanani previously TGTS ilikuwa kubwa but kuanzia July 2014 TGS ni kibwa kuliko TGTS na sababu ya kuwa kubwa vidato vya TGTS vimeongezwa mfano kidato cha mwisho kwa mtumishi mwenye shahada ie Principal education officer I ni TGTS I while kidato cha mwisho kwa TGS mfano Principal Economist 1 kidato cha mwisho ni TGS H 1 .
 
Back
Top Bottom