Ma file yangu yameingiliwa na mdudu aitwae shortcut. Nimejaribu kuli cover lakini nimeshindwa. Ila mafaili yapo ila hayafunguki. Nisaidieni nahitaji kuya unlock niyafanyie kazi. Sijui nitumie program gani kuya unlock. Tafadhali sana wajameni msaada.
Nisahihi kabisa mkuu Mimi ni Fundi mchundo pia nipo tayari kuanzisha biashara ya Vifaa vya umeme na baadae kufungua kampuni yangu. Ila je nipe muongozo hapa ile zana ya kusema ni lazima uwe na chanzo zaidi ya kimoja ili uwe na mafanikio bora. Hilo unalielezeaje?
Jamani naombeni ushauri wenu. Binafsi napenda sana nianze biashara ya Dagaa wabichi niwakaange na kuwatafutia soko. Ila sijajua faida na hasara yake ipoje. Na ni wapi wanapendwa sana ila pia bei yake sokoni ipoje na kadhalika. Napenda sana nianze hiyo biashara. Naombeni ushauri wenu nianzeje...
Safi sana UK coz kuna nchi kwenye ule umoja zilikuwa zikinyonya wenzao. Ila kwa sasa nahisi ndio mwanzo wa kufa ule umoja kesho utasikia nyingine imejitoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.