Recent content by MwanzoMugumu

  1. M

    Mh. Edward N. Lowassa anapata wapi nguvu ya pesa?

    Pasco, unatuhaibisha wanahabari.
  2. M

    RPC wa Mwanza ACP Liberatus Barlow auawa na wanaodaiwa ni majambazi!

    Si dhani kama ni sahihi kubeza kifo cha Kamanda kwa kumbebesha makosa ya watu wengine. Ya RPC Kamuhanda hayawezi kuwa makosa ya RPCs wote nchini. Pia ni vizuri zaidi tukazuia kutoa hukumu zinazo ongozwa na hisia zetu wakati uchunguzi ukiwa bado unaendelea. Tukisha pata taarifa rasmi hapo...
  3. M

    On Star TV: Ipi Misingi ya Amani Tanzania? Sehemu ya 3

    Wageni wetu wa leo wamejikitikita katika kutetea chama fulani na kuponda chama fulani, hata kama hawataji jina la chama au jina fulani akili ya kawaida inatutosha kung'amua mawazo yao, na naweza kusema bila kumung'unya maneno kwamba viongozi wa namna hii ndo wanao hatarisha amani. Lazima tujue...
  4. M

    Sheikh Ponda yuko sahihi

    [/COLOR] Ni maoni yangu kwamba ni upuuzi na upumbavu uliopita mipaka kulazimisha jambo ambalo kimsingi maslahi yake ni machache kama hayapo kabisa. Dini ina maslahi gani mpaka tumbambue kilammoja kwa dini yake?? Sensa inatka kujua mwanamke, mwanaume ili kujua kwamba tupange mfano maswala ya...
  5. M

    Rais Kikwete apangua Baraza la Mawaziri

    Tbci iko live waungwana
  6. M

    Rais Kikwete apangua Baraza la Mawaziri

    Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni katika baadhi ya mambo wanafanya vizuri. Mfano PB, LEO TENA, NJIAPANDA, SPORT EXTRA tuache udhaifu wa watu wachache
  7. M

    Rais Kikwete apangua Baraza la Mawaziri

    Umepata wapi hizi taarifa?
  8. M

    LIVE ON Star TV: Kwanini Uwajibikaji kwa Viongozi si suala hiyari?

    Ndugu zangu uwajibikaji ni mgumu sana kwa Taifa kama la Tanzania watu (viongozi) wamejifunga kimtandao. Inamuwia vigumu sana waziri A kuondoka wakti anajua waziri B anafanya kitu kilekile naye hajaguswa. Pili kiongozi haoni sababu ya kuwajibika kwani hana hofu juu ya mamlaka iliyomteua. Vyeo...
  9. M

    Natoa rai kwa wanaomtumia Dr. Benson Bana wa UDSM kutoa analysis za kisiasa

    wasomi kama akina dr.bana ni janga la kitaifa, wana-jf msiwe na shaka siku taifa lilikombolewa tunaanza nao. Muangalieni yuko star tv anazungumzia mambo ya muungano opotoshaji mtupu eti sera ya majimbo italeta ukabila na kudhoofisha juhudi za utaifa. Jamaa wa hovyo huyu, hatwambii mpaka sasa...
  10. M

    Chadema kuongoza mchakato wa kura ya kutokuwa na imani na Rais

    Dr, Slaa amesema kama mchakato wa kumg'ona Waziri Mkuu uatachakachuliwa bungeni CDM itawaongoza watanzania kupiga kura kwa kusaini sahihi milioni 8 za kumuondoa Rais madarakani. Ameyasema hayo Jijini Mwz katika mkutano wa hadhara maeneo ya Sahara. Amesena Rais alichaguliwa kwa kura milioni 5 tu...
  11. M

    Mgombea wa CHADEMA ashinda (Bulifani - Kyaka) wilaya ya Missenyi

    Emilembe waitu. Tuanawashukuru sana wanakyaka huko Misenyi
  12. M

    Dr. Slaa alipa Bunge na Serikali siku tatu (3)

    Kufuatia kutotiwa mbaroni kwa watruhumiwa halisi wa tukio la kushambuliwa wabunge wawili wa Chadema DR. Slaa amelipa Jeshi la polisi siku saba kuwakamata watu hao na kuwafikisha mahamani mara moja. Amesema watu hao wanafahamika kwa sura, kwa majina, magari waliyotumia, na namba zake, polisi...
  13. M

    Dr. Slaa alipa Bunge na Serikali siku tatu (3)

    Katibu Mkuu wa Chadema Dr. W.P. Slaa amelipa Bungwe na serikali kwa ujumla kupitia kwa katibu wake Dr. Thomas kushughulikia Kashilila matibau ya Mhe. Hyness Kiwia mbunge wa Ilemela kufuatia kujrehuiwa na watu wanaosadikika kuwa ni wafuasi wa CCM march 31, 2012 eneo la Kirumba jijini Mwanza...
  14. M

    William Ngeleja - Waziri Anayetuhumiwa kwa Wizi!

    Waungwana kama nilivyotangulia kusema kujenga ghorofa sio hoja kwani ziko nyingi katika miji yetu. Hoja hapa ni kwamba Waziri ambaye wizara yake inalalamikiwa kila kukicha. Pili kama kuna uhalali ya nini kijenga kwa kupitia majina ya watu kwanini lisiwepo jina lake? Tatu, report ya CAG inaonesha...
  15. M

    William Ngeleja - Waziri Anayetuhumiwa kwa Wizi!

    WanaJF baadaya kusoma maelezo na mapendekezo yenu katika "TOPIC" ya jana ilisomeka hii ndiyo hali halisi kwa heshima na unyenyekevu mkubwa naomba kumleta kwenu Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Wiliam Mganga Ngereja aka Mr.Megawat.kuwa ndiye mmiliki wa nyumba ya ghorofa kama tano hivi make...
Back
Top Bottom