dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,126
- 49,385
matokeo halisi cdm 401 ccm 129 tlp 2!
Yaani kwa ufupi:
Mgombea wa TLP kura 2 yaani 0.38%
Mgombea wa CCM kura 129 yaani 24.25%
Mgombea wa CHADEMA kura 401 yaani 75.38%
Jumla ya kura halali ni 532 yaani 100%
Sipati picha lile lisauti la Kiravu na Makame sorry next time ni Lubuva kama Katiba Mpya haitaamua vinginevyo. Mungu atusaidie tuvuke salama.