Jomba unashindanisha Emotion over Logic. Mambo mawili tofauti.
Tafsiri kubwa ya mapenzi ipo upande wa hisia, Na wengi wanapoteana kwenye mapenzi kwasababu ya kubeba hisia mbele na kupumbaza mantiki.
Watu wenye ubwenke (akili)
kupitiliza, wapo vizuri kutafsiri mantiki lakini kwa swala la...
kigagula ni soo! night kali umelala unakoroma mtu atakuchapa na usinga plus malibwata. Sio kweli, bora seran mwenye hofu ya Mungu ataniamsha tufanye maombi.
ManchoG, unasahau kwenye maisha kuna madaraja,
kila unachoona wewe ni ushamba, uchanga wa majukumu kwa wengine Kufanya huo ushamba na ulimbukeni kwao ni hatua kubwa sana. Hatufanani.
Una zero exposure na hili life, huwenda ni janja tu wakishua, spoiled na arrogant. Huelewi lolote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.