Recent content by Mwanzo ni Mwisho

  1. Mwanzo ni Mwisho

    Visa vya Wajawazito kwa waume zao

    Niliagizwa chips yai saa nane usiku zurula sana narudi na chips yai anasema imepoa haitaki tena anataka urojo 😕
  2. Mwanzo ni Mwisho

    Kwanini 'Wajinga' wanatoboa kimaisha haraka kuliko sisi 'Great Thinkers’?

    Jibu jepesi, Hakuna mjinga, ni wewe na mitazamo yako ya kisomi ndio imekufanya uliwaona wajinga. Put the book down! It will fvck you up.
  3. Mwanzo ni Mwisho

    Kwanini Watu Wenye (IQ Kubwa) Wanaongoza Kuwa na 'Mabushoke' Kwenye Ndoa na Mahusiano Kuliko Darasa la Saba?

    Jomba unashindanisha Emotion over Logic. Mambo mawili tofauti. Tafsiri kubwa ya mapenzi ipo upande wa hisia, Na wengi wanapoteana kwenye mapenzi kwasababu ya kubeba hisia mbele na kupumbaza mantiki. Watu wenye ubwenke (akili) kupitiliza, wapo vizuri kutafsiri mantiki lakini kwa swala la...
  4. Mwanzo ni Mwisho

    Baada ya Shule ya Msingi Mivinjeni kuuzwa, kota za Polisi Relwe nazo kuuzwa muda mfupi ujao

    Seriously, gentleman, wamekupofua kwa kiasi hiko!
  5. Mwanzo ni Mwisho

    Baada ya Shule ya Msingi Mivinjeni kuuzwa, kota za Polisi Relwe nazo kuuzwa muda mfupi ujao

    Hakika. Gentleman atakuwa na vidalili vya undo.cha
  6. Mwanzo ni Mwisho

    Malezi magumu ya utotoni ndiyo yaliyonijenga kuwa mtu wa kanuni na utaratibu mpaka leo

    Aisee, pole na hongera mkuu, wazazi kamanwapo hai watakuwa wazee sasahiv, vipi una mawasiliano nao? au ndio mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu!
  7. Mwanzo ni Mwisho

    Eti, "natafuta mke/mume mwenye hofu ya mungu", nyambafu!

    kigagula ni soo! night kali umelala unakoroma mtu atakuchapa na usinga plus malibwata. Sio kweli, bora seran mwenye hofu ya Mungu ataniamsha tufanye maombi.
  8. Mwanzo ni Mwisho

    Eti, "natafuta mke/mume mwenye hofu ya mungu", nyambafu!

    tuwahi kupata kilicho bora, tusije kuokota kigagula bure 😅
  9. Mwanzo ni Mwisho

    Eti, "natafuta mke/mume mwenye hofu ya mungu", nyambafu!

    Watu mna hofu ya Mungu na hamseni jamani, Mamaa mimi nakuhitaji na hofu yako ya Mungu.
  10. Mwanzo ni Mwisho

    Nani mkali wa "Likes" kati ya hawa Members wa JamiiForums?

    Raraa reree ameadimika lakin leo kanibless hapa lilike limoja
  11. Mwanzo ni Mwisho

    Vitu ambavyo nilikuwa navichukulia kirahisi nikiwa under 25 lakini sasa nina zaidi ya miaka 35 nawaheshimu waliovifanya

    ManchoG, unasahau kwenye maisha kuna madaraja, kila unachoona wewe ni ushamba, uchanga wa majukumu kwa wengine Kufanya huo ushamba na ulimbukeni kwao ni hatua kubwa sana. Hatufanani. Una zero exposure na hili life, huwenda ni janja tu wakishua, spoiled na arrogant. Huelewi lolote.
  12. Mwanzo ni Mwisho

    Mahakama yaamuru Baba wa Kambo kuendelea kulipia matunzo ya watoto wake wa kambo mara baada ya talaka na single mama

    Utakuta baba watoto origino yupo kajibanza sehemu anajilia bia zake taratibu akitafuta mwingine kumzalisha.
Back
Top Bottom