Tena kwa upewa hereni za jero tu anatoa mzigo kwa chinga muuza urembo.
Hivi unafikilia pale edeni aliongea nn na yule nyoka? Ni wao wawili tu ndo wanajua walichoongea. Ndoo maana tangia hapo wanawake wakawa too complicate to deal with. Sanasana ishini nao kwa akili.
Naomba kuuliza, hivi kwa mtu anaevuta sigara akiwa karibu na wewe ule moshi wa sigara unaweza kukuathiri wewe mtu wa pembeni yake?
Kwani hawa wavutaji wa sigara huwa hawana staha hata mbele za aatu wanavuta masigara yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.