Mtoto wa Golden Paste
Senior Member
- Jul 7, 2020
- 166
- 121
- Thread starter
- #21
Nilikwenda hospital nikapimwa kisha wakasema ni UTI,nikapewa dozi ya Ampiclox+diclofenac. Nimetumia zile dawa lakini nikienda kukojoa nahisi maumivu sana na pia uume unawasha sana kwa ndani hadi kwenye mstari unaotenganisha njia ya haja kubwa na korodani. Sasa sioni msaada wa hizo dawa nilizotumia mpaka sasaMimi Kama mtaalam wa afya hilo ni gonorrhea kabisa
Anza dose mapema