Recent content by mwantulwa

  1. M

    Android Developers wa bank ya NMB, huu uoga mmeanza lini?

    Developers wa Nmb ni viazi tu, haiwezekani wame update app alafu inasumbua sana. Alafu app ya zamani ilikuwa fresh tu.
  2. M

    Aina ya wanawake waliooa kaka zangu inanifikirisha sana

    Huwa hamna wife material or husband material, we tafuta wa kufanana na wewe utaishi kwa rahaa mustarehe.
  3. M

    Simba haina timu ya kuifunga Yanga. Ikitokea Simba imemfunga Yanga nakalia moto bila kuwa na nguo

    Mechi ya simba na yanga huwa yanacheza majini pale uwanjani. Punguza mihemuko Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
  4. M

    Naomba kufahamishwa, hivi kwanini Tanzania hatuna mabasi mazuri ya Abiria kama Nchi za Jirani? Tazama Picha

    Yaani haya mabasi ya kichina yaliyojaa Tanzania ni takataka kabisa. Halafu ukute wanasifia ni luxury sijui korokocho gani.
  5. M

    Ni muda sasa tanzania kuwa na international indoor stadium.

    Ni aibu kwa nchi ya tanzania kutokuwa na uwanja wa michezo ya ndani wenye hadhi ya kimataifa. Kuwa na kiwanja hata kimoja tu inatosha lakini ni standard, ule uwanja wa mabati pale taifa indoor haukidhi kabisa kucheza mechi za kimataifa. Sio kwa basketball, volleyball wala netball. Kujenga...
  6. M

    Nakusudia kuiburuza Sekretarieti ya Ajira (Utumishi) na Serikali Mahakamani

    Kila kitu nchi hii kimekaa kimchongo mchongo tu. Hizo degree zenyewe sasa.... Takataka tupu. Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
  7. M

    Nilishindwa kuzikabiri hisia zangu

    Mimi sijui nafail wapi shetani hajawahi kunipitia hata siku moja.. Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
  8. M

    Kuna mkakati Maalum wa Kuzibeba Timu za West Africa

    Yaani wabongo kwa ujuaji tu, kipa ameacha mpira ameenda kumgonga kichwa mane, yaani ni bora anegusa ule na mkono. Kipa ndio alikuwa na advantage pale sababu mpira anauona ulikotoka, lakini mane alikuwa i guess tu utaangukia wapi ndomana alikuwa anakimbia wakati huku akikadiria. Ile kadi nyekundu...
  9. M

    Siku hizi Marekani/Hollywood ina idadi kubwa sana ya movie mbaya

    Mi nasubiri mission impossible nyingine jamaa huwa hawakosei
  10. M

    Mabasi ya Kichina (Yutong) hayafai kutumika kwenye barabara za Tanzania

    Yaani kusema ukweli mabasi yote ya china ambayo bongo jamejaa ni takataka kabisa. Sio yutong, higer, kinglong, zhotong sijui, golden dragon yote ni uchafu tu Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
  11. M

    Waziri Jafo: Wananchi nunueni Majokofu mapya yale ya mitumba yanachafua hali ya hewa!

    R134 na yenyewe wameacha kuitumia kwenye latest fridge. Fridge latest ya mtumba inatumia R600 siku hizi Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
  12. M

    Nimefanikiwa kuacha kunywa soda

    Too much of anything is harmful, kila chakula kula kwa kiasi. Ndomana kwenye chupa ya beer imeandikwa; drink responsibly Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
  13. M

    Ni movie gani ambayo ulishawahi kuiangalia halafu baadaye ukajuta kwanini umeiangalia?

    Fast and furious 9, i dont know why they made it. Ni mbaya kuliko zote
  14. M

    Ligi isiyo rasmi, inayoshabikiwa na trafiki na abiria Sauli vs Golden Deer

    Tena kwa njia ya dar/mwanza hao ally star madereva wako reckless sana. Wanawaza kuwahi tu full mambio na kuovertake hovyo tu. Inafika mahali anatamani barabarani awe mwenyewe tu anavyopiga horn akiovertake
Back
Top Bottom