Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 11,540
- 12,398
Na hela ya kutop up wanatuongezea kwa njia ipi mobile money au Bank?Waziri wa mazingira mh Jaffo amewataka wananchi kuacha kutumia majokofu ya mitumba kwani yanachafua hali ya hewa na hivyo kuharibu mazingira.
Jaffo amesema ni vema wananchi wakanunua majokofu mapya kwa ajili ya usalama wa afya zao.
Source: Upendo tv