Najua nilikosea! Na ndo maana nimeleta uzi tujadili nifanyeje!! Make nimekaa nacho moyoni miezi minne sasa, kinanitesa!!Ila mambo haya yaani mtu anahadithia as if alichokifanya ni kizuuri.![]()





Nilikuwa nikiskia kesi za baba mwenye nyumba kutembea na mfanyakazi wake wa ndani angali yuko na mke, niliona kama ni upuuzi unafanywa hivi! Niliwahi ishuhudia kesi ya namna hii, mwanamke wakati anatoka kazini, akamkuta mme wake akiwa na house girl chumbani kwake, ingawaje wakati wanaondoka asubuhi! Mwanamke aliondoka na mme wake, kumbe alivyofika njiani alikunja kona kurudi nyumbani!
Twende kwenye kisa changu japo kwa ufupi!
Mtoto wa baba mkubwa wangu (binti) sikuwahi onana nae kwa kipindi kirefu sana!! Ni miaka kama minne hivi!! Lakini mwezi Desemba mwaka jana alikuja nyumbani kutembea, na mimi kipindi hicho nikikuwa nyumbani. Mapokezi yalikuwa mazuri tu na maisha yakasonga!
Wiki moja baadae, wanafamilia walitoka out kidogo!! Mimi nilikuwa sijiskii vizuri kiukweli, hivyo sikuwa tayari kwa out! Huyo binti na yeye akasema atabaki kuniangalia!
Sielewi ilikuwaje! ila nilijikuta namuangalia kwa jicho la tatu! Alikuwa sensitive sana, pindi nilipomwangalia nae alinigeukia mda huo huo kwa haraka sana! Tukajikuta tunatabasam, (shetani akafungua mlango akaingia ndani akakaa katikati yetu ili afanye yake)
Niliamua kubadilisha channel nikaweka wasafi tv wakati muda huo binti alitaka star swahili! Mchezo wa kunyang'anyana remote ukaanzia hapo, tukajikuta tunabadilishana mate! Hatukuulizana chochote na wala hatukuwa na wasiwasi tena, tukajikuta tuko tupu ingawaje mlango haukuwa hata umefungwa na funguo! Tumedumu muda mrefu sana! Mpaka nime satisfy ndo tukaanza kuoneana aibu! Nikaingia chumbani ndo wazo la kuwa huyu ni ndugu yangu likaja! Issue tulipiga kimya, ikawa siri yetu! Dah!! Ni zaidi ya binamu!!
Juzi alinitafuta kwenye simu akauliza kuwa sikukuu hizi nitakuwepo nyumbani? Anasema kani miss sana kuniona! Anatumia kigezo cha eti kamisi vituko vyangu!!
Itoshe tu kuishia hapa!
Ngoja mje kunipa mwongozo.....wa
Nyie mnao tumia startimes mnachangamoto sanaNilikuwa nikiskia kesi za baba mwenye nyumba kutembea na mfanyakazi wake wa ndani angali yuko na mke, niliona kama ni upuuzi unafanywa hivi! Niliwahi ishuhudia kesi ya namna hii, mwanamke wakati anatoka kazini, akamkuta mme wake akiwa na house girl chumbani kwake, ingawaje wakati wanaondoka asubuhi! Mwanamke aliondoka na mme wake, kumbe alivyofika njiani alikunja kona kurudi nyumbani!
Twende kwenye kisa changu japo kwa ufupi!
Mtoto wa baba mkubwa wangu (binti) sikuwahi onana nae kwa kipindi kirefu sana!! Ni miaka kama minne hivi!! Lakini mwezi Desemba mwaka jana alikuja nyumbani kutembea, na mimi kipindi hicho nikikuwa nyumbani. Mapokezi yalikuwa mazuri tu na maisha yakasonga!
Wiki moja baadae, wanafamilia walitoka out kidogo!! Mimi nilikuwa sijiskii vizuri kiukweli, hivyo sikuwa tayari kwa out! Huyo binti na yeye akasema atabaki kuniangalia!
Sielewi ilikuwaje! ila nilijikuta namuangalia kwa jicho la tatu! Alikuwa sensitive sana, pindi nilipomwangalia nae alinigeukia mda huo huo kwa haraka sana! Tukajikuta tunatabasam, (shetani akafungua mlango akaingia ndani akakaa katikati yetu ili afanye yake)
Niliamua kubadilisha channel nikaweka wasafi tv wakati muda huo binti alitaka star swahili! Mchezo wa kunyang'anyana remote ukaanzia hapo, tukajikuta tunabadilishana mate! Hatukuulizana chochote na wala hatukuwa na wasiwasi tena, tukajikuta tuko tupu ingawaje mlango haukuwa hata umefungwa na funguo! Tumedumu muda mrefu sana! Mpaka nime satisfy ndo tukaanza kuoneana aibu! Nikaingia chumbani ndo wazo la kuwa huyu ni ndugu yangu likaja! Issue tulipiga kimya, ikawa siri yetu! Dah!! Ni zaidi ya binamu!!
Juzi alinitafuta kwenye simu akauliza kuwa sikukuu hizi nitakuwepo nyumbani? Anasema kani miss sana kuniona! Anatumia kigezo cha eti kamisi vituko vyangu!!
Itoshe tu kuishia hapa!
Ngoja mje kunipa mwongozo.....
Ktk haya mambo ya kulana kimasihara naona Shetani ana watu wake teyari, wengine amewatenga...sijui tatizo ni nn aiseeMimi sijui nafail wapi shetani hajawahi kunipitia hata siku moja..
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Leo ndio nimejua kuwa wewe ni me, siku zote uwa nahisi wewe ni ke kutokana na ID yako ya Honey Bee inanikumbusha story ya mdunguaji ile ameandika nani yule mtunzi wa vitabu mtanzania, kulikuwa na character wa kike anaitwa honey bee, basi ID yako inanikumbushaga huyo.Nilikuwa nikiskia kesi za baba mwenye nyumba kutembea na mfanyakazi wake wa ndani angali yuko na mke, niliona kama ni upuuzi unafanywa hivi! Niliwahi ishuhudia kesi ya namna hii, mwanamke wakati anatoka kazini, akamkuta mme wake akiwa na house girl chumbani kwake, ingawaje wakati wanaondoka asubuhi! Mwanamke aliondoka na mme wake, kumbe alivyofika njiani alikunja kona kurudi nyumbani!
Twende kwenye kisa changu japo kwa ufupi!
Mtoto wa baba mkubwa wangu (binti) sikuwahi onana nae kwa kipindi kirefu sana!! Ni miaka kama minne hivi!! Lakini mwezi Desemba mwaka jana alikuja nyumbani kutembea, na mimi kipindi hicho nikikuwa nyumbani. Mapokezi yalikuwa mazuri tu na maisha yakasonga!
Wiki moja baadae, wanafamilia walitoka out kidogo!! Mimi nilikuwa sijiskii vizuri kiukweli, hivyo sikuwa tayari kwa out! Huyo binti na yeye akasema atabaki kuniangalia!
Sielewi ilikuwaje! ila nilijikuta namuangalia kwa jicho la tatu! Alikuwa sensitive sana, pindi nilipomwangalia nae alinigeukia mda huo huo kwa haraka sana! Tukajikuta tunatabasam, (shetani akafungua mlango akaingia ndani akakaa katikati yetu ili afanye yake)
Niliamua kubadilisha channel nikaweka wasafi tv wakati muda huo binti alitaka star swahili! Mchezo wa kunyang'anyana remote ukaanzia hapo, tukajikuta tunabadilishana mate! Hatukuulizana chochote na wala hatukuwa na wasiwasi tena, tukajikuta tuko tupu ingawaje mlango haukuwa hata umefungwa na funguo! Tumedumu muda mrefu sana! Mpaka nime satisfy ndo tukaanza kuoneana aibu! Nikaingia chumbani ndo wazo la kuwa huyu ni ndugu yangu likaja! Issue tulipiga kimya, ikawa siri yetu! Dah!! Ni zaidi ya binamu!!
Juzi alinitafuta kwenye simu akauliza kuwa sikukuu hizi nitakuwepo nyumbani? Anasema kani miss sana kuniona! Anatumia kigezo cha eti kamisi vituko vyangu!!
Itoshe tu kuishia hapa!
Ngoja mje kunipa mwongozo.....
Kwani wewe ni mwanaume?
Au ni pande mbili!?Hivi mimi nilijua labda yeye ndiyo kamegwa! Au ndiyo kamshuhudia binamu yake akimegwa na mume wake! Kumbe......! 🤔