MWANAHABARI HURU USIDANGANYE WATU,John Nzwalile amekuwa katibu Mkoa CHADEMA ambapo hajafukuzwa ktk Uongozi wa mkoa huo mpaka anajivua uanachama wa CHADEMA,kama unabisha tutajie Uongozi uliokuwepo Mwanza wakati kampeni za uchaguzi mkuu 2015 na baada ya uchaguzi huo.
sitta yupo juu ya kubenea ktk hii nchi kwa utendaji wa wazi na kuaminika kwa umma,hivyo mwanaHALISI jihadharini kwa kuanza kuonekana mmenunuliwa na mafisadi.Pia siku si nyingi,Gazeti lenu litaporomoka umaarufu ktk soko la Tanzania.
Ridhiwani ukiwa kijana wa kitanzania Msomi wa LLB-UDSM tunajitokeza kukuombea uteuzi wa ujumbe wa LOAN BOARD (HESLB) ili usaidie nyongeza ya bajeti ya mikopo na pia uwe kiongozi wa presidential Guard maana sisi wahitimu wenzio UDSM tunaamini unaweza kuisaidia nchi kwa kuwa hupendi kujikweza na...
Dr.slaa awe m/kiti chadema taifa & dr.kitila kumbo awe katibu mkuu wa chadema na alipwe kama anavyolipwa dr.slaa kwa sasa,hivyo chadema itatisha nchi nzima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.