Mkuu ndo mwanzo wa kazi kujiajiri wengi.hao 5 baada ya miaka 5 watakuwa hata mia hv nchi nzima.hapo ndo inapoanzia mia 500 mpaka mia 250.wengine watasema kwenye kila watu 10 wanne bureee.mwisho wa siku shule nazo zitanunua mashine za kunyolea. kisha shule kuajiri wanyoaji halafu sisi wazaz...
Hapo hakuna herefu ya kiarabu hata moja.kama ni rangi nyekundu kila mtu anayo maana tuna damu na kama ni uzi kila mtu anavaa nguo zilizo shonwa na kama n karatasi kila mtu kasoma shule kwa kutumia makaratasi.endelea kupiga mzigo kama kawa kama dawa tena mpakie na congo dust.kama huna nambie mm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.