Recent content by mwanga mweusi

  1. mwanga mweusi

    Dawati la jinsia na watoto kuwekwa polisi ni bure tu bora liende ustawi wa jamii

    Natamani lifutwe usiku huu maana siku sio nyingi napelekwa huko bora tulikose
  2. mwanga mweusi

    Jinsi ya Kuongea na Ndugu Yako Aliyekufa

    Sasa mm jinaekunywa bia 2 naanza kutukana hovyo nikinywa hizo 4 akija si nitampiga kabisa . Ukute ndugu mwenyewe mnywaji sasa akifika chakwanza kibao anaanza kunituhumu mm mchoyo nimekunywa zote
  3. mwanga mweusi

    Baba anatoa nyumba yake ya Kariakoo wakfu iwe mali ya msikiti, huku watoto wake wamepinga hawana urithi, why Watu weusi hatujui Generational wealth

    Mzee kashituka kaona akikata kamba hata kabla ya msiba kesi hii apa na bei ishaongelewa mzee yupo sawa unakuta litoto halijitumi linasubiria ufe liaze kushuhulikia ulichokitafuta kwa jasho ila kama watoto wanapambana na wanamaono angewapa hakuna mzazi anataka mwanae ateseke ila kama...
  4. mwanga mweusi

    Wenye ndoa yenye watoto tu: Je mwanao alishawakuta kimakosa mkiwa faragha? Ulichukua hatua gani?

    Nishakutwa mara 2 yakwanza alikuja nduki akasema baba unampiga mama ikabidi niendelee na mawazo yake dogo akachukia nimempiga mama yake Ya 2 alinikita ndio tunaanza mabusu mengi na yeye akaunga namimi baba nibusu nikamusu la kawaida ikapotezewa hiyo
  5. mwanga mweusi

    Huyu jamaa ana roho mbaya Iseee!

    Ikatokea amempatia mtoto chakula kisha huyo dogo akaumwa au kufa itakuwaje? Mim sigawi chochote kwa mtu nisie mfahamu hata kama atakaribia kufa niheri ninnunulie kuliko kumpa nilichonacho
  6. mwanga mweusi

    UKIMWI (AIDS) sio ugonjwa, bali ni mkusanyiko wa magonjwa, na yote yanatiba zinazofahamika, Kuna mtu anabisha?

    Hapo ni sawa na kupambaza kujaza maji kwenye pipa lililo toboka unaweka ndoo 1 yanavuja ndoo 2 hata yaliyokuwepo yanaisha ni bora waendelee kutumia kinga za potable
  7. mwanga mweusi

    Kuvuta umeme kwenye nguzo za transfoma

    Naomba ishauri kama inawezekana ,najua humu wapo wazoefu na mafundi wenyewe. Nimejenga kajumba kakuishi sasa nimeweka bajeti ya umeme sasa nilisikia kuna kununua nguzo hilo mimi sikujali maana hapa jirani yangu ng'ambo ya barabara kama mita 20 pana transfoma hii ndio inasambaza umeme mtaa huu...
  8. mwanga mweusi

    Mapito ya career woman

    Ushamba tu umeandika hapa kama kiswahili andika kiswahili kama ni kingereza andika kingereza tupite iv
  9. mwanga mweusi

    Vimbwanga vya kuku wa kienyeji

    Nilifuga. Kijijini kipindi hicho nilikua na uwezo kuku mooja akawa na vifaranga hadi 40 hadi watu wanashangaa imekuaje Nilikua na kuku kazi yake ni kutaga tu hana biashara ya kulalia mayai. Mwingine nikunywa mayai tu qnataga anakunywa hadi ya wenzie mpuuzi yule nilimla supu tena ilikua ijumaa...
  10. mwanga mweusi

    Msaada kuhusu mashine za kuchomea vyuma [welding machine]

    Kuna kitu hua nashindwa kuelewa kuhusu hizi mashine kuna hizi mashine za kichina kwanzia laki na nusu nakuendelea je zinatofautiana nini wakati zote zina Current sawa ? Kwann zitofautiane bei na kuna hizi za kusuka nazo zina tofauti na hizi za kichina kwenye utendaji? Je mtu alichoma kwakutumia...
  11. mwanga mweusi

    Tetesi: Wanajeshi wa Tanzania na wenzao wa SADC Washikiliwa Mateka kama Mateka wa Vita na Wanamgambo wa M23 huko Goma

    Watekwe na wauwawe haswa huku mtaani wanaojifanya miungu kupiga watu kalazimisha mambo kutembea na wake za watu kisa jeshi huko ndipo sehemu ya kujitambia sio mtaani uwanja wa fisi
  12. mwanga mweusi

    Je, elimu rasmi ni njia pekee ya mafanikio? Somo kutoka kwa baadhi ya mabilionea

    11 mimi hapa nilikimbia form two nikala vibarua mtaani vya umeme nikaenda veta level 2 nikakimbia tena saivi nachukua tenda mbalimbali na mwajiri engeneer atumie vyeti vyake badala yangu
Back
Top Bottom