Recent content by Mwanavisu

  1. M

    Tanzania yetu: Tafakari, chukua hatua

    TANZANIA YETU: TAFAKARI, CHUKUA HATUA Haya ndio mambo tunayoyafamu kuhusu TANZANIA yetu: 1. Kwa miaka 50 hii inchi imeongozwa na ccm peke yake ambayo ni zao TANU na ASP. 2. Tz ina ukubwa ukubwa wa 945,000 km square yani sawa na uchukue Denmark, Ufaransa, Uingereza, Uholanzi na...
  2. M

    Siri nzito kuhusu mapenzi

    hiyo siri mpya ni ipi sasa jamani? Uandishi huuuu mweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
  3. M

    Lowassa atoa pendekezo kali kwa CCM: Pinda na Membe walipinga

    Eehh Mheshimiwa, mbona unajisahau na kuongea kama vile una mamlaka dhidi ya mawazo na uhuru wa fikra za wengine? Kama wewe unaamini hivyo, unahaki na sababu, lakini sio lazima wengine wakuunge mkono. Kwani wewe ukipotea kwa sababu ya uelewa wako ni lazima na wengine wote wakuige wewe? Toa hoja...
  4. M

    Kwanini Lowassa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2015

    Oh My God...For Gods sake ulimwengu huu wa leo watu wanamawazo ya kuchagua kiongozi kwa misingi ya kikabila? Halafu tuwapate watu kama hawa waende mtaani kuwashawishi wananchi wenzetu wawachague viongozi kwa kuzingatia makabila, si tutaacha kipisi cha sigara iliyochomwa kwenye chumba kilichojaa...
  5. M

    Imegundulika kwenye sakata la Askofu Gwajima!

    Tuache porojo, gwajima hata mimi namtilia mashaka, waacheni mapolisi wafanye kazi zao. Ndio hao hao wenye akili kama za gwajima tukiendelea kuwabeba siku moja watatulipua na yakatupata kama yale ya wanachuo wa garisa. Kuna watu wanatumia vyeo na nyadhifa mbalimbali ili kujificha tu wasigundulike...
  6. M

    Askofu Gwajima vs Cardinal Pengo: Polisi waingilia kati

    Ndugu zangu, tuache malumbano turudi kwenye hoja. Gwajima ametumia lugha inayopingama na maadili tuliyoyategemea toka kwake. Askofu, kiongozi wa kidini, baba wa kiroho wa watu wengi, mzazi na mume wa mtu...anasimama hadharani kutoa maneno machafu, makali mabaya dhidi ya mwanaume mwenzake...
  7. M

    Mtihani wa Darasa la Saba wafutwa

    Hongera sana Rais kwa mipango yako ya kuboresha elimu. Pamoja na hongera hizo ningekushauri kupembua kwa undani kuhusu matokeo ya maamuzi yako. Nasema hivi kwa sababu, mara nyingi maamuzi na mipango yako hayajaleta malengo uliyoyatazamia, kwa mfano sera yako ya kilimo kwanza... kadili yangu...
  8. M

    Amboni Tanga: Askari Polisi, JWTZ wapambana na majambazi wenye silaha nzito za moto

    Ni imani yangu kuwa JWTZ sio litazikomboa tu hizo silaha bali litahakikisha kuwa wanaimarisha ulinzi na kuteketeza dalili au mihimili yote ya Al shabab. Watanzania tumedumu katika amani kwa muda mrefu sasa. Tunawaomba sana wanajeshi wetu kuendelea kutulenda, hasa katika kipindi hiki cha dalili...
  9. M

    Madawa ya Kulevya na aibu ya Tanzania - Yatosha sasa!

    Sasa Mtanzania mwenzangu, kama umegundua kuwa wanaofanya hizo shughuli ni vingunge na waja wao, usiishie kuandika tu kwenye Jamii Forums, bali tushirikiane kwa pamoja kuingia mtaani na vijijini kote nchini kuwaelimisha wananchi ili wasichague viongozi ambao mwisho wa siku wanawafanya waja wao...
  10. M

    Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

    Mimi natilia mashaka hoja hiyo ya waislamu ya kudai mahakama ya Kadhi, kuwa labda kuna jambo wanalotaka kulibeba kupitia mahakama hiyo. Kwanini mambo ya kiimani yawekwe kwenye msingi wa sheria? Je sio kwelikuwa katika nchi yetu tunauhuru wa kuabudu? Au ndio kusema waislamu hawana uhuru? tusiige...
  11. M

    Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

    Mpango mzuri, na mikakati inasomeka, ila tu, mimi naona issue mpya itakayofanana na ile ya escrow. Ndugu zangu mtakaopata hizo nafasi punguzeni tamaa tujenge nchi yetu...
  12. M

    Mishahara ya viongozi wa Tanzania

    Wewe unaongelea mishara? watu wanapiga pesa kwenye marupurupu, ambayo ni tripple/four times mishahara yao. Chezea bongo wewe...
  13. M

    Quality of life in african perspective

    QUALITY OF LIFE IN AFRICAN PERSPECTIVE Quality of Life is an issue which concerns the world at Large. When Western Societies discuss about Quality of Life using indicators like employment opportunities, Working Relations, Insecurities, Environmental Degradation, Family Life and Social Relations...
  14. M

    Marando: Kikwete mtuhumiwa Escrow

    Uwazi unajionyesha kabisaaa wakati,boss wetu alivyokuwa anasua sua kufanya maamuzi. Sasa taratibu aliyewaripua wataanza kumripua. Tutayasikia yote. We unadhani tibaijuka zile hasira za kusema thitoki, thitoki, thijiuzuru..zimekwisha? Mi nakwambia patawaka hadi pateketee ili kuwapunguzia kazi ya...
  15. M

    Kipi ni chuo bora cha IT Tanzania ?

    Ni RUCO au Mzumbe. Nimefanya kazi na watu waliosoma huko na kuwakubali kabisa. Wengine wanatoka vyuo vyenye majina makubwa sana but wakiingia ofisini mimi niliojifunza computer mtaani nawazidi ujanja. Pengine RUCO na Mzumbe wanafanya vizuri kwa sababu wanawalimu wenye uwezo wa juu sana katika...
Back
Top Bottom