[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] uzuri na ubaya wa private sector hawalipi cheti, wanaangalia ni nani anaye-deliver. Siyo uende private sector na degree yako wakati you are not adding value to the particular institution, watakulipa kama mtu mwenye certificate. Mhimu kwa sekta ya walimu wawe...
Nimekimbilia kusoma post nikidhani DMO kakashifu. Hapa Najifunza kitu kimoja tu, kwamba watz tunapenda kuishi kwa kutosema kweli. Sijaona kosa la daktari hapo. Tunajenga taifa la waoga wa kupindukia. Hongera DMO you have played your role.
Ubaya wa katiba yetu ni kutoa madaraka mkubwa MNO kwa rais. Rais wa Tanzania ana madaraka kuliko yule wa marekani. Mnaomba Mungu msipate rais atakayesita kutumia udhaifu wa katiba yetu. Suala la UDOM lina maswali zaidi ya milioni magumu. Sioni dalili za kiongozi wetu na hata Chama tawala...
Naambiwa wakenya hawatamani kupeleka watoto wao private school kwa vile shule za serikali zimeendelea kusomeshwa na hata wanaelekea kumpatia kila mtoto laptop. Serikali ya tz iziimarishe shule za umma, badala ya kuhangaika na kuzishika shati private. Wakiboresha hakuna atakayepeleka private...
Mkuu uko sahihi hii kitu ilishawahi kuwashinda huko nyuma. Kwa sasa ada ya mwanafunzi wa shule ya serikali iko juu kuliko ya private. Inahitaji umakini kulitambua hili. Na watu wengi hawafahamu.
Dah Unanikumbusha nilivyoacha kazi serikali za mitaa tena nikiwa mkuu wa idara 2009. Hongera. Kutoka misri yataka moyo! Watu watakucheka na watakukejeli kikubwa stay focused. Kuna ugumu wake nje ya misri. Baadaye maisha yataendelea ktk uhuru. Binafsi baadaye nilijuta kwa nini nilipoteza muda...
Mnasema mabaya tu ya hizi shule za English Medium. Mbona hamsemi mazuri yake? Na mbona hamsemi ukweli kuwa shule za kitanzania zinafundishwa na walimu WALIOFELI mitihani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.