wiseboy
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,930
- 3,310
hakuna jambo jema kama kuushinda nafsivya uoga...uwoga tulio nao ndio umetufikisha tulipo...tumegraduate mwaka mmoja....kitengo kimoja...wenzako wana maduka..viwanja...usafiri nk.
then ww hakusomeki bado unakomalia barabara hiyo hiyo..mara miaka 50 kabang imetia timu kustafu kuleee kunagonga hodi..ukijiaangalia una suti tu mbili ndani ya begi, umesomesha mtoto mmoja yupo advance bado.
anyway inshort tuwe wavumbuz ukiona siku zinaenda kitengo hakilipi piga chini tafuta uchochoro mwingine kwa speed ya mwanga utafikia ndoto zako tu.
then ww hakusomeki bado unakomalia barabara hiyo hiyo..mara miaka 50 kabang imetia timu kustafu kuleee kunagonga hodi..ukijiaangalia una suti tu mbili ndani ya begi, umesomesha mtoto mmoja yupo advance bado.
anyway inshort tuwe wavumbuz ukiona siku zinaenda kitengo hakilipi piga chini tafuta uchochoro mwingine kwa speed ya mwanga utafikia ndoto zako tu.