Ninaacha Ualimu tangu leo

Ninaacha Ualimu tangu leo

hakuna jambo jema kama kuushinda nafsivya uoga...uwoga tulio nao ndio umetufikisha tulipo...tumegraduate mwaka mmoja....kitengo kimoja...wenzako wana maduka..viwanja...usafiri nk.
then ww hakusomeki bado unakomalia barabara hiyo hiyo..mara miaka 50 kabang imetia timu kustafu kuleee kunagonga hodi..ukijiaangalia una suti tu mbili ndani ya begi, umesomesha mtoto mmoja yupo advance bado.
anyway inshort tuwe wavumbuz ukiona siku zinaenda kitengo hakilipi piga chini tafuta uchochoro mwingine kwa speed ya mwanga utafikia ndoto zako tu.
 
Dumelang acha upumba.v.u ungekuja kuomba ushauri sio kuja na conclusion zako, eti kuanzia leo naacha kazi. Ebu tafadhali sana fuata ushauri wa post #12 na #14 maana kuna walimu wengi wametoka kwa kuanzisha miradi baada ya kukopa, maisha si lelemama

Punguza hasira mdogo wangu jipange una majukumu mbele
 
Last edited by a moderator:
Ndio maamuzi niliayoamua na hapa nafanya mpango kukusanya vyangu huku nilipo, najua life litazonga ila kipimo cha akili ni ugumu wa maisha, ipo siku nitatoka tu. Siwezi kuwa mtumwa kamwe.

Nilisimamia mitihani ya kidato cha pili, mtihani umeisha hatukulipwa hadi jana, jana watu wanalipwa nakuja kufatilia pesa yangu naambiwa jina langu halipo, leo nimuone afisa elimu, namuona leo anasema hakuna fungu nilisahaulika niandike Barua kufungua madai nitalipwa kwa OC (other chages) mafungu ya mkurugenzi.

Tafsiri yake ni kuwa limeshakuwa deni tayari hili, jasho langu, kila siku nilitumia tsh 8000 kwenda na kurudi kusimamia mitihani kwa siku saba. Kuja hapa halimashauri kutoka nnakoishi nakodi pikipiki elf 8 kwenda na kurudi kila siku, hapo bado kula, Nimetumia pesa eti leo nidai tena. HAPANA

Tangu nimeanza kazi nna miaka mitatu sasa ninaidai serikali, alafu leo niongeze tena kudai?

Kwa dhati ya moyo wangu nimeamua na sirudi nyuma, nimeachana na ualimu Rasmi, siwez kuwa mtumwa kwa haki yangu. Nita fight, nitatoka, sio wote wenye kazi ndio wanamudu maisha .
Uamuzi wa kiume huo!! Bravo!!
Binafsi sijawahi fanya kazi serikalini, na naendelea na jitihada za kujiajiri mwenyewe, baada ya muda kidogo inshaAllah, nitaacha kabisa hizi kazi za kitumwa Dumelang
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana sana, mimi niliacha zamani kidogo, na niliweka thread miaka ya baadae hapa jamvini na nilitoa sababu, wengi walinipinga lakini kweli sijawahi kujuta! Yalikua maamuzi ya "kijinga" kwa kipindi kile ila nashukuru Mungu naendelea mbele

Naomba link yako y thread yako mkuu
 
mkuu masuala yote hayo tunasababisha walimu wenyewe hongera! kuna halmashauri nyingine walimu hawakulipwa hela ya semina, wakaenda kusimamia hivyo hivyo kigumu wakaahidiwa watapewa hela mwisho wa kazi, siku wamemaliza jamaa wanakusanya mitihani wanadai "mtaletewa pesa kwenye vituo vyenu" imagine mtu umeenda kukaa sehemu zaidi ya wiki ukitegemea utalipwa! mbaya zaidi siku ya malipo unaambiwa ufuate hela halmashauri tena kwa gharama zako!>>>>>>> but walimu hao wala hawalalamiki... mimi nadhani ukipata nafasi ya kuchomoka ni bora kuliko unyonyaji huu wa wazi
 
Nenda mwalimu kujiajiri usiogope hata ukichekwa na kudharauliwa wewe usisikilize maneno yao.
 
Dah Unanikumbusha nilivyoacha kazi serikali za mitaa tena nikiwa mkuu wa idara 2009. Hongera. Kutoka misri yataka moyo! Watu watakucheka na watakukejeli kikubwa stay focused. Kuna ugumu wake nje ya misri. Baadaye maisha yataendelea ktk uhuru. Binafsi baadaye nilijuta kwa nini nilipoteza muda wangu mwingi ktk utumwa wa ajira. Graduate unaongozwa na graduate and sometimes mfagiaji wa DED ana vi-overtime kukuzidi wewe mwl graduate wa shule ya kata.
 
mkuu masuala yote hayo tunasababisha walimu wenyewe hongera! kuna halmashauri nyingine walimu hawakulipwa hela ya semina, wakaenda kusimamia hivyo hivyo kigumu wakaahidiwa watapewa hela mwisho wa kazi, siku wamemaliza jamaa wanakusanya mitihani wanadai "mtaletewa pesa kwenye vituo vyenu" imagine mtu umeenda kukaa sehemu zaidi ya wiki ukitegemea utalipwa! mbaya zaidi siku ya malipo unaambiwa ufuate hela halmashauri tena kwa gharama zako!>>>>>>> but walimu hao wala hawalalamiki... mimi nadhani ukipata nafasi ya kuchomoka ni bora kuliko unyonyaji huu wa wazi

Mkuu inauma sana haki yako inapodhurumiwa ukijua, sasa suala langu inaonesha ni mchezo huu maana huwezi sema pesa za wasimamizi zimeisha mie nilipwe kwenye OC wakati idadi ya wasimamizi inajulikana, sasa kazi gani ya kunyonyana hii? Bora ku hustle ukijua nakula kwa haki, na siibiwi naona.
 
vijana wanachezea maisha hawa, huku mtaani ni kugumu sana kabla ya kuchukua maamuzi hayo ungeomba kwanza ushauri ili watu tukupe uhalisia wa huku unakotaka kuja. huku kugumu mkuu pambana huko huko. unaweza kuwa mjasiliamali huku bado ukawa mwalimu kwa sababu mwl leo anakopeshwa hadi milion 15 kwa makato ya 5 yrs

Kwani yeye alizaliwa akiwa mwalimu hadi huo ugumu wa kitaa asiujue?
 
Dogo wewe Susa wenzako twala Na mwezi wa sita mishahara inapaaa, utajibeba
 
Si bure watoto wetu wanafeli mitihani embu ondoka haraka sana. Yaani thamani ya kazi yako ni ndogo kuliko posho ya kusimamia mtihani siku 10????? Mwajiri wako ni afisa elimu? Dah umeniudhi sana ningekuwa bosi wako nakupitishia hiyo barua faster alafu nakulamba na makofi ili iwe chachu ya huko uendako
 
Ndio maamuzi niliayoamua na hapa nafanya mpango kukusanya vyangu huku nilipo, najua life litazonga ila kipimo cha akili ni ugumu wa maisha, ipo siku nitatoka tu. Siwezi kuwa mtumwa kamwe.

Nilisimamia mitihani ya kidato cha pili, mtihani umeisha hatukulipwa hadi jana, jana watu wanalipwa nakuja kufatilia pesa yangu naambiwa jina langu halipo, leo nimuone afisa elimu, namuona leo anasema hakuna fungu nilisahaulika niandike Barua kufungua madai nitalipwa kwa OC (other chages) mafungu ya mkurugenzi.

Tafsiri yake ni kuwa limeshakuwa deni tayari hili, jasho langu, kila siku nilitumia tsh 8000 kwenda na kurudi kusimamia mitihani kwa siku saba. Kuja hapa halimashauri kutoka nnakoishi nakodi pikipiki elf 8 kwenda na kurudi kila siku, hapo bado kula, Nimetumia pesa eti leo nidai tena. HAPANA

Tangu nimeanza kazi nna miaka mitatu sasa ninaidai serikali, alafu leo niongeze tena kudai?

Kwa dhati ya moyo wangu nimeamua na sirudi nyuma, nimeachana na ualimu Rasmi, siwez kuwa mtumwa kwa haki yangu. Nita fight, nitatoka, sio wote wenye kazi ndio wanamudu maisha .

Maamuzi magum haya
 
Dah! Ila unaweza kuwa mjasiliamali wakati ukiwa mwalimu.fight ukiwa mwalimu unaweza kopa ukaanzisha ishu nyingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom