Waliotimuliwa UDOM waibuka, watoa ya moyoni

Waliotimuliwa UDOM waibuka, watoa ya moyoni

Kubwa jinga wewe unaropoka tuu tumia akili hata ya mbuzi kuelewa
Umekunywa huo uji sijui nini ambacho umemimia kiroba kwenye avatar yako! Nyumbu wewe watu wamejadili Kwa muda badala ya kusoma post za watu uelewe kinachojadiliwa unatoka mkukumkuku kama janjaweed na Kuja kuchangia usichokijua, nyie ndio huwa mnaolewa kabla ya muda mnazaa premature halafu wanakuja kuwa na mtindio wa ubongo kama wewe
 
Tatizo lako hujapashwa QUOTE="Obuma, post: 16408780, member: 346031"]Umekunywa huo uji sijui nini ambacho umemimia kiroba kwenye avatar yako! Nyumbu wewe watu wamejadili Kwa muda badala ya kusoma post za watu uelewe kinachojadiliwa unatoka mkukumkuku kama janjaweed na Kuja kuchangia usichokijua, nyie ndio huwa mnaolewa kabla ya muda mnazaa premature halafu wanakuja kuwa na mtindio wa ubongo kama wewe[/QUOTE]
 
Umekunywa huo uji sijui nini ambacho umemimia kiroba kwenye avatar yako! Nyumbu wewe watu wamejadili Kwa muda badala ya kusoma post za watu uelewe kinachojadiliwa unatoka mkukumkuku kama janjaweed na Kuja kuchangia usichokijua, nyie ndio huwa mnaolewa kabla ya muda mnazaa premature halafu wanakuja kuwa na mtindio wa ubongo kama wewe
Hujapashwa wewe
 
hawa watoto hawakutendea haki ...huwezi kuwaaffanyia hivi watoto hawa 7000 its too much ...wana wazazi ,ndugu na jamaa ambao walitegemea wakimaliza shule watakuwa msaada kwao ...
 
Awa watoto wamekosea sana kwenda kwenye media itawagharimu mno.. Siasa ni kitu kibaya sana hapa wanalazimisha mafahali wawili wapambane ila watakaoumia ni wao.
Wanadanganywa na wao watafanyiwa siasa alafu aliyewadanganya tutamuona atakua wapi
 
Ushauri mzuri tu

Hata hivyo, ushauri wako umeangalia upande mmoja tu wa sifa, kwamba wana qualifications za kuwafanya wakasomee diploma ya ualimu au fani zingine zozote

Upande wa pili ambao haukuuangalia ni;

1. Gharama za kwenda kusomea diploma ambazo zina range kati ya 1,000,000 hadi 3,000,000 kwa mwaka. Tukumbuke kuwa hii special diploma in education for science teachers kwa UDOM ilikuwa inafadhiliwa na serikali kwa kuwapa mikopo hawa vijana 100% na ndiyo maana kuna vijana wengine walishachaguliwa kwenda High Schools lakini kwa kuvutiwa na programu hii ambayo ilikuwa wakimaliza wana ajiriwa moja kwa moja waliacha na kuamua kujiunga nayo. Hawa walikuwa ndo wazalendo wa kweli!!

2. Uchache/uhaba wa nafasi katika vyuo vya serikali vinavyotoa Stashahada ya ualimu especially ktk masomo ya sayansi ambako huko ingalau hata watoto wa maskini walala hoi wanaweza kumudu gharama za kusomesha watoto wao.

Option pekee ya nafasi inabakia kwenye vyuo vya binafsi ambako ndiko kuliko na gharama unbearable kwa watoto wa maskini ya kati ya milioni moja hadi milioni tatu au hata zaidi!!

.....Ndo kusema kuwa hoja sio sifa na muda kuruhusu kufanya application bali vikwazo vikubwa ni hivyo hapo juu!!
waendelee kufuata ushauri wa wanasiasa na wao wafanye siasa
 
kabla sjatoa maoni naomba kuuliza hivi katika wale waliokamatwa kwa cyber crime hakuna aliyetoka jamiiforums,nisije nkatolewa mfano mimi bure
 
Nimeona hawa vijana nao wameanza kutoa matamko eti wanakutana na waandishi wa habari.Mi nawashauri wenye sifa mmeambiwa na Mh Rais anawaandalia utaratibu mzuri muendelee na Chuo.

Haya yanayoendelea ni siasa na mmeshaingia kwenye mtego wa wanasiasa.Jambo hilo litawagharimu kama mna sifa tajwa na Rais mnahangaika nn?

Kuweni watulivu aliyetamka ni Rais na nyingine ni kelele kuwapoteza.kuweni makini.
 
Makapi ni wale walioanzisha hii program, ambao ni Serikali ya Chama Cha Majipu (CCM). Una lingine?
ndio nina lingine..hao majipu ie makapi wa ccm ndio hawataki kusahihishwa vilaza kusajiliwa chuo kikuu. hawataki jpm kupepeta unga ili kunasa vilaza waliyowekwa kifisadi kwenye nafasi wasizostahili.
 
Nimeona hawa vijana nao wameanza kutoa matamko eti wanakutana na waandishi wa habari.Mi nawashauri wenye sifa mmeambiwa na Mh Rais anawaandalia utaratibu mzuri muendelee na Chuo.

Haya yanayoendelea ni siasa na mmeshaingia kwenye mtego wa wanasiasa.Jambo hilo litawagharimu kama mna sifa tajwa na Rais mnahangaika nn?

Kuweni watulivu aliyetamka ni Rais na nyingine ni kelele kuwapoteza.kuweni makini.
Wewe ni msemaji wa ikulu?
 
Vilaza wanatafuta sehemu ya kupumulia matatizo yao ya msongo wa mawazo. Vilaza warudi nyumbani. Rais alishafunga mjadala wa hao vilaza. Wanahangaika tu.
 
Na Jesca je?

Ivi jaman jesca si alipitia taratibu zote za kujiunga na chuo kikuu?!! Yaani baada ya kufeli form four alisoma certificate, akaenda diploma then akajoin university kupitia NACTE. Tofauti na waliofukuzwa wao wametoka form four direct to university tena kwa kupitia TCU! Au mie ndo sikuelewa apo?? Nipo tayari kurekebishwa!!!
 
Mwisho kabisa, tunaomba viongozi wote wa dini na wale wanaoamini, kuendelea kumwombea Mh. Raisi n a viongozi wengine ili waongoze taifa hili kwa hekima na busara na kwa kufuata taratibu, kanuni na sheria za nchi hii.

... tatizo ni kwamba amekuwa akiombewa kwa miezi 6 sasa na haonyeshi dalili za kubadiliki
 
JPM wangu weeee kalishwa kasa! Kama kweli hakuna Kilaza.....ni hatari kwa nchi kumdanganya President! Isije kutokea kumbe Kilaza ni Jesca pekee alieko UDOM! Naendelea kula pop corn movie ikiendelea!! Aje aombe radhi kwa lugha ya kuudhi!
Tatizo yule hana breki wakati wa kuongea utafikiri ni gari lililo feli breki kwenye mteremko. Kamwambia JK live kuwa kamwachia kazi ngumu kweli kweli eti "ukigeuka huku wafanyakazi hewa, ukigeuka huku barabara hewa, ukigeuka huku wanafunzi hewa..." Sasa jiulize hizo barabara hewa nani alikuwa waziri wa ujenzi wakati wa utawala wa JK?
 
Kikwete kwenye gazeti la Leo la mwananchi kasema wanafunzi wote wa UDOM waliofukuzwa walikuwa na sifa sasa tunamuuliza maghu kitu gani kimemfanya awafukuze watoto wetu
 
Vilaza wanatafuta sehemu ya kupumulia matatizo yao ya msongo wa mawazo. Vilaza warudi nyumbani. Rais alishafunga mjadala wa hao vilaza. Wanahangaika tu.

No sio wote bro! Kwenye kundi hilo kuna div 1,2,3 na 4 Mh rais alisema wenye vigezo vyao watatafutiwa utaratibu wa kuendele! Na wasio na cigezo warudi kuvitafuta huko chini (college) i mean certificate & diploma
 
Ubaya wa katiba yetu ni kutoa madaraka mkubwa MNO kwa rais. Rais wa Tanzania ana madaraka kuliko yule wa marekani. Mnaomba Mungu msipate rais atakayesita kutumia udhaifu wa katiba yetu. Suala la UDOM lina maswali zaidi ya milioni magumu. Sioni dalili za kiongozi wetu na hata Chama tawala kugeukia katiba na mfumo na kupunguza madaraka ya rais kwa mstakabali mzuri wa nchi yetu. Rais ataendelea kukurupuka as long as Wapo wanaoendelea kumshangilia. Ktk zama za Leo hatuna kiongozi ndani ya Chama tawala atakayepinga ukurupukaji huu. Angekuwepo jk nyerere walau angeweza
 
Back
Top Bottom