Asante Mtumishi wa Mungu Baba Askofu Kazoba kwa kutokua mnafiki, wengi tulitegemea Baraza la Maaskofu Katoliki kutoa tamko la kujitenga na msimamo binafsi wa Askofu Dallu
Yap! Umenielewa na nimekuelewa pia. Ikitokea binti amepata mimba lazima hatua stahiki zichukuliwe ili atambue na kujutia kosa, halafu mpe nafasi kwani atakuwa amejifnza kitu fulani, ndio maana nimeshtushwa na msimamo wa baba Askofu uliokinyume na biblia kwani hakuna kosa lisilo na msamaha kama...
Rafiki mpendwa kumbuka wengine wanapata mimba baada ya kubakwa nao je unasemaje? Lakini pia vaa viatu vya hao watoto wa kike uwe mmoja kisha upime mazingira wanayopatia hizo mimba. Lakini pia bado ninaamini kwamba Baba Askofu ametoa maoni yake ya mtu asiyejua changamoto za malezi kwani hajawahi...
Je ni kweli kuwa kama jamii hatuna mifano ya wototo waliojiendeleza kielimu baada ya kujirudi na kujutia makosa yao na sasa ni watu muhimu kwa familia na jamii? Je kwa kuwanyima elimu haiwezekani tukawa tunawanyima uwezo wa kutunza watoto wao na hivyo kuzalisha vibaka watakaozaliwa na hawa...
Inaonekana mtoa mada ni college student anayeumiza kichwa na hao viumbe ambao siku hizi thamani yao ni sawa na viti vya viti vya kwenye bus la kimbinyiko ! Unapanda na ukalia ukishuka mwenzio anakalia very simple!
Namba 12, inabidi wadada wawe wavumilivu jamani , ni janga la wengi siku hizi, we angalia sangoma akisema tu anatoa booster ya hayo mambo anavyopiga hela
We jamaa husomeki! Sasa si umesema ulimwacha? Mbona unaonekana bado una mfuatafuata? Kwa hiyo baada ya kumwacha ulitaka ajinyonge? Kwa taarifa yako mapenzi ni sawa na kiti cha basi la shabiby ukishuka tu jua abiria mwingine anakisubiri basi kama ulikuwa na yale mapenzi ya zamani eti mwache...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.