mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
Wengi hawawezi kuongea kiswahili mfululizo bila kuchanganya na Kiingereza.
Na wengi zaid hawawezi kuongea Kiingereza kwa mfululizo bila kukwama njiani na wakati mwingine wanachanganya na Kiswahili au wanarudi kwenye Kiswahili tena.
Mfano: Malumbano ya hoja ITV wengi wakiwa ni wanafunzi wa vyuo lakini Muda mwingi uliishia kwa Mtangazaji kuwasisitiza waongee Kiswahili bila kuchanganya Lugha.Sasa hii kasumba inaingia mtaani, karibu wote tunaelekea huko. Hata humu JF tumo wengi wa namna hiyo.
Swali...
Je? Kuna haja ya KISWA-ENGLISH kuongezwa kuwa Lugha ya tatu ya taifa Tanzania? Au tuzitendee haki Lugha zetu hizi mbili zisizoingiliana kiasili.
Na wengi zaid hawawezi kuongea Kiingereza kwa mfululizo bila kukwama njiani na wakati mwingine wanachanganya na Kiswahili au wanarudi kwenye Kiswahili tena.
Mfano: Malumbano ya hoja ITV wengi wakiwa ni wanafunzi wa vyuo lakini Muda mwingi uliishia kwa Mtangazaji kuwasisitiza waongee Kiswahili bila kuchanganya Lugha.Sasa hii kasumba inaingia mtaani, karibu wote tunaelekea huko. Hata humu JF tumo wengi wa namna hiyo.
Swali...
Je? Kuna haja ya KISWA-ENGLISH kuongezwa kuwa Lugha ya tatu ya taifa Tanzania? Au tuzitendee haki Lugha zetu hizi mbili zisizoingiliana kiasili.