Habari wakuu kwema,,, Miezi michache iliyopita kama 7 mpk sasa nilipta dada mmoja iv ila nilikuwa na wasi wasi maana niliona kama kanizid akil mana kapitia ving nilimkatalia akanilazimisha nikaona fresh so tukawa nae nikampa moyo wangu wote man nilikuwa sitak kubanduka kwake nilimpenda kuliko kawaida.
Lakin nilikuja gungua mim ni daraja lake mafanikio maana kitandani honestly nilikuwa siko vzr nikamwambia ok ntafind tiba ila usifanyie maksudi lakin hakusikia, nikawa nasikia kwa watu mara yupo na nan sijui anamsindikiza nani nikaona ok sina haja kujibizana nikawa kimya sas boss wake alisafiri kumbe alikuwa anatembea nae nilishajua hilo ndo maana nikataka kuachana kwa aman hakuelewa akaja kwangu analia sana nikamwambia nenda mana machoz hayasaidii akaenda akarud na kilio mara mbil nikaona isiwe shida nimsamehe atajirekebisha ila nikasema nitamfuatilia nikamfuatilia nikamuona boss wake anakuja kwako kama saa nne akalala mpk asubuh sikutaka kuleta varangati nikachukuka malapa ya nikatupa sasa huyu demu anakejel anajaribu ili kunisumbua nilishauadi nikamuambia ukifanya kitu mbya ntakufanyia kitu kibaya hutakaa unisahau....
Leo nipiga pombe kdg nikamfuta kwako nikampiga simu nikaona anajibu nusu nusu nikaingia mlangoni nikagonga alivyotoka nilimpa kibao moja nikamsukuma nikamwambia kesho nikiona simu yako kwako kwangu ntamuuua nikasepa niambien wakuu kama nimekosea.....
NOTE; I Hate being cheated mana sijawah hata kumsalit nampa chance kibao kwanin afanye ivyo asaiv hasira 0%......
Nawasilisha Wakuu