Hili swala lipo sana....
Kuna baadhi ya watu walioa au kuolewa kwa bahati mbaya/ kwa fashion baadae wanakutana na wanaowapenda...
Ama kuna baadhi ya watu waliolewa/walioa wakiwa wadogo then baadae wanapata akili za kiutu uzima....
Binafsi sipendi watu wanaonyanyasa mahousegirl....
Ila kila libaya mtu analowafanyia wenzie huwa linamrudia baada ya muda....
Mungu mwenyewe awasaidie hao kinadada...
Sio kila tukio ni habari ndugu. Wanaweza kuwepi kwenye tukio wakaona sio habari kubwa sana wanaiweka pembeni...
Na kataa ama ukubali kila chombo cha habari kina mrengo wake
Wasichana mnasahau maisha mazuri hayaji tu leo, vumilia miaka miwili mitatu maisha ya mmeo yatabadilika yawe mazuri....mnakimbilia magari tu.mnakosa vitu vizuri vya rohoni+
Media ya tanzania mbona watangazaji wengi sana ni hawana elimu ya kutosha na hata hawajisomei kupata maarifa ya ziada, na wengi hata miiko hawajui wanakua washabiki mpaka wakiwa on air
Mimi nimeusoma ule waraka wa maaskofu, wamepinga katiba kwa fact, fact ambazo ziko wazi tu, sema tanzania tumekua wanafiki mno kulingana na maslahi yalipo kuliko maendeleo ya nchi na future ya tz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.