Mimi ni Roman Catholic lakini hawa maaskofu wamenifanya niufikirie mara mbili mbili huu ukatoliki wangu.
Kwanini hawa maaskofu watudharau kwa kiasi hiki? Yani wametuona sisi ni ma-Robot tusioelewa chochote hadi tuelekezwe cha kufanya?
Wewe ni muumini wamashaka na kwa kua ni mambo ya imani nitasema tuu Mungu akusaidie
Hawa maaskofu kwa akili zao wanadhani Mungu alishindwa kutufanya ma-Robot tufanye anayoyataka yeye tuepukane na haya mateso ya hii Dunia?
Wamenikera sana hao maaskofu.
Huu ni unafiki, hukukereka kwenye BMK walivyo endesha bunge na kura!, serekali inavyo fanya kampeni za ndio, ukereke ushauri ya kura ya hapana!!
Nakubaki mtoa hoja, ana hoja za msingi, ila sina uhakika kama huu waraka watu wameusoma na kuuelewa kwa hoja na fikra zilizomo.
Hii nikatiba na si uchaguzu. Huu ndio msingi wa Taifa na si serekali. Hebu tu chambue mambo kwa hoja pevu.
Kimsingi na heshim Sanaa uwezo wa kufikiri wa maaskofu wa Kiroma, na uvumilivu wenye weledi mkubwa. Ila hapa kuna mambo ya msingi ya ya liyo wafikisha hapa. Tuusome waraka wao na kuuelewa neno kwa neno kabla ya kuu unga mkono au kuu kosoa. y